zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 18,889
- 28,480
wale walijitoa chadema na cuf baada ya consultation na CCM ssa unafkiri uhuru wasingejua???Kama ndivyo kwanini liongope kuhusu Seif?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wale walijitoa chadema na cuf baada ya consultation na CCM ssa unafkiri uhuru wasingejua???Kama ndivyo kwanini liongope kuhusu Seif?
Mkuu anaJPM watu washaanza kukuelewa
Hilo gazeti linachoandika ndo mipango ya ccm wanayoitekeleza, hapo ina maana kwamba ccm inahakikisha Seif anahama CUF kupitia kibaraka wao Lipumba.