Elimu ya hapa na pale
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 846
- 824
Kuna magazeti huwa siyaamini kabisa. mfano tanzania daima, mawio na mwanaharisi
hivi hili gazet lipogo?Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi-CUF Maalim Seif Sharif Hamad ameamua kukihama chama chake baada ya kuona kinapoteza mwelekeo.Kwa sasa Maalim Seif yupo katika harakati za kutafuta chama mbadala ambacho atahamia yeye na wafuasi wake.
Chanzo: Gazeti la UHURU.
MY NOTE.Nitakuwa wa mwisho kuamini habari hii.
Kuna magazeti huwa siyaamini kabisa. mfano tanzania daima, mawio na mwanaharisi
Sema Lumumba hatuguswi hata tukimuota mtukufu.Mimi hii nimeota kweli kabisa! Sasa wengine wanawaza watakavyoota!!! Kisha wanaweka mawazo hayo hadharani. Katu mimi sifanyi hivyo.
Kuna tofauti ya kutoa mawazo utayoota na ile kutoa ndoto ambayo haukuiwaza!Sema Lumumba hatuguswi hata tukimuota mtukufu.
Kumuota Sefu au Zitto poa tu
una kipaji cha utabiri mkuu halafu umekikaliaUnajua leo nimeota Maalim Seif anakuwa waziri mkuu wa Zanzibar, Nikajiuliza Zanzibar katiba yao wameibadili lini kuweka cheo cha waziri mkuu?
===
Kutoka kwa hii Habari kumenistua!
Hivi wale jamaa waliouza Mitambo ya Uhuru ili wajilipe mishahara bado Wapo? Na Je wafanyakazi wa Uhuru wamelipwa mishahara ya mwezi huu????
Kumbe ndio maana waliipiga bei ile machineElli;
Unasema mshahara wa mwezi huu, wafanyakazi wa Uhuru hawajalipwa mishahara ya miezi ka 8 hivi. Ruzuku yao imepunguzwa sana na mianya ile imezibwa sasa tunaisoma namba tu.
Kumbe ndio maana waliipiga bei ile machine
Hilo gazeti linachoandika ndo mipango ya ccm wanayoitekeleza, hapo ina maana kwamba ccm inahakikisha Seif anahama CUF kupitia kibaraka wao Lipumba.Unaziamini taarifa za gazeti la Uhuru kuhusu upinzani?
Usitegemee Maalim Seif kuiacha CUF hata siku moja.