Kwa hiyo tuseme adui mkubwa wa maendeleo na uhuru wa taifa letu ni Bunge.Kipato cha mbunge...
Mbunge analipwa mshahara wa sh 3,800,000 kwa mwezi, Anapata posho sh 8,000,000 kila mwezi, jumla 11,800,000.
Akiwa kwenye kikao analipwa posho ya kikao sh. 240,000 na posho ya kujikimu sh. 120,000, jumla 360,000.
Kwa kuwa Bunge la bajeti linakaa kwa miezi mitatu, akihudhuria vikao vyote anapata 32,000,000 (wastani wa 10,000,000 kwa mwezi)
Katika miezi mitatu ya bunge la bajeti Mbunge ana uhakika wa kukunja 22,000,000 kila mwezi.
Kwa kifupi ni kwamba wanavuna kwenye shamba ambalo hawakushiriki kulilima.
Na hapo hatujaongelea...
- Mkopo wa gari ............................. 90,000,000!
- Kiinua mgonggo......................... 240,000,000!
View attachment 1857456
Mbunge anakunja milioni ishirini na mbili (22,000,000/=) kwa mwezi lakini halipi kodi
Mbunge huyo huyo anatunga sheria ya kodi huku yeye akijipa kinga ya kutolipa kodi!
Pesa anazolipwa Mbunge zinatokana na kodi ya ambao hata mlo moja kwa siku ni shida!
KumbeTanzania inajengwa na wazalendo lakini inaliwa na walafi CCM wenye meno!
Yaani Wazalendo wanahangaika juani ili kuwawezesha wabunge CCM kula kivulini!
Adui nambari wani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni CCM, period!
Sababu ya watz kuwa masikini ni ccm
WANANCHI ndio WAJINGAKipato cha mbunge...
Mbunge analipwa mshahara wa sh 3,800,000 kwa mwezi, Anapata posho sh 8,000,000 kila mwezi, jumla 11,800,000.
Akiwa kwenye kikao analipwa posho ya kikao sh. 240,000 na posho ya kujikimu sh. 120,000, jumla 360,000.
Kwa kuwa Bunge la bajeti linakaa kwa miezi mitatu, akihudhuria vikao vyote anapata 32,000,000 (wastani wa 10,000,000 kwa mwezi)
Katika miezi mitatu ya bunge la bajeti Mbunge ana uhakika wa kukunja 22,000,000 kila mwezi.
Kwa kifupi ni kwamba wanavuna kwenye shamba ambalo hawakushiriki kulilima.
Na hapo hatujaongelea...
- Mkopo wa gari ............................. 90,000,000!
- Kiinua mgonggo......................... 240,000,000!
Maajabu ya Watanzania wanaowalinda hao wabunge waliopiba kura na kukimbia na maboksi ya kura,View attachment 1857456
Mbunge anakunja milioni ishirini na mbili (22,000,000/=) kwa mwezi lakini halipi kodi
Mbunge huyo huyo anatunga sheria ya kodi huku yeye akijipa kinga ya kutolipa kodi!
Pesa anazolipwa Mbunge zinatokana na kodi ya ambao hata mlo moja kwa siku ni shida!
KumbeTanzania inajengwa na wazalendo lakini inaliwa na walafi CCM wenye meno!
Yaani Wazalendo wanahangaika juani ili kuwawezesha wabunge CCM kula kivulini!
Adui nambari wani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni CCM, period!
View attachment 1857456
Mbunge anakunja milioni ishirini na mbili (22,000,000/=) kwa mwezi lakini halipi kodi
Mbunge huyo huyo anatunga sheria ya kodi huku yeye akijipa kinga ya kutolipa kodi!
Pesa anazolipwa Mbunge zinatokana na kodi ya ambao hata mlo moja kwa siku ni shida!
KumbeTanzania inajengwa na wazalendo lakini inaliwa na walafi CCM wenye meno!
Yaani Wazalendo wanahangaika juani ili kuwawezesha wabunge CCM kula kivulini!
Adui nambari wani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni CCM, period!
Malalamiko yamekuwa mengi, je nini kifanyike?
Ni kweli kabisa na kwa kuwekeza katika mtaji wa ujinga CCM wameweza kufanikiwa kwa asilimia 100%! Tanzania kwa sasa iko miongoni mwa mataifa duniani yaliyosheheni idadi kubwa ya wajinga!WANANCHI ndio WAJINGA
Kawaulize wabunge wako wastaafu wakina Mbowe ilikuwaje nawao walikuwa wanakuja hizo pesa bila kulipa kodi??View attachment 1857456
Mbunge anakunja milioni ishirini na mbili (22,000,000/=) kwa mwezi lakini halipi kodi
Mbunge huyo huyo anatunga sheria ya kodi huku yeye akijipa kinga ya kutolipa kodi!
Pesa anazolipwa Mbunge zinatokana na kodi ya ambao hata mlo moja kwa siku ni shida!
KumbeTanzania inajengwa na wazalendo lakini inaliwa na walafi CCM wenye meno!
Yaani Wazalendo wanahangaika juani ili kuwawezesha wabunge CCM kula kivulini!
Adui nambari wani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni CCM, period!
Wewe ndiyo mjinga na ukoo wako wote usituingize na sisi bhana!Ni kweli kabisa na kwa kuwekeza katika mtaji wa ujinga CCM wameweza kufanikiwa kwa asilimia 100%! Tanzania kwa sasa iko miongoni mwa mataifa duniani yaliyosheheni idadi kubwa ya wajinga!
Hebu fikiria taifa ambalo kwa zaidi ya miaka 50 linaongozwa na chama kile kile, watu wale wale na akili zile zile huku imepiga kambi kwenye lindi la umasikini licha ya urithi wa mali asili lukuki.
Na bado wapo wananchi wanaamini tutafika...nashauri tuanze upya kwa kukiri ujinga wetu.
Na ndiyo maana wataalamu wetu madaktari, mainjinia, maprofesa n.k. wameamua kuaibisha taaluma zao kuwahi huko kuvuna wasipopanda.Kwa hiyo tuseme adui mkubwa wa maendeleo na uhuru wa taifa letu ni Bunge.
Bunge ni kupe,bunge limegeuka wanyonyaji,bunge ni kikwazo cha mwananchi wa kawaida,bunge ni kinyume cha Azimio la Arusha, Bunge ni fursa ya kula bila kunawa,ni bunge ni biashara kubwa isiohitaji mtaji mkubwa.
Huko ndipo wanapopoozwa wale wa kusifu na kulamba nyayo wakubwa.Ukiachilia mbali apo kwa wabunge wanaolipwa misharaa mikubwa ivyo kuna huu msururu wa viongozii ambao kama kweli tunataka kuijenga nchi lazima msururu huo ukatwee unakuta kuna Dc,Rc,Meya,wajumbe mbalimbali wa halmashauri, n.k wote hao wanapokea fedha ikiwa kuna miundo mbinu haijakaa sawa hizi sekta ambazo hazizalishi chochote zinazohudumiwa na serikali kuna haja yakuzipunguza siyo kuongeza tuu kodi
Halafu kuna matahira mpaka leo wanamsifia wakati kashaoza tayari.Hili la speaker kuwekewa kinga asishtakiwe ni moja ya mambo ya kipuuzi kuwai kutokea Tanzania ambayo the departed alituachia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nimeamka ndo maana tumepandishiwa tozo kwenye miamala ya kutuma na kutoa pesa hii kitu inaumiza sana hasa sisi wa kipato kidogoKipato cha mbunge...
Mbunge analipwa mshahara wa sh 3,800,000 kwa mwezi, Anapata posho sh 8,000,000 kila mwezi, jumla 11,800,000.
Akiwa kwenye kikao analipwa posho ya kikao sh. 240,000 na posho ya kujikimu sh. 120,000, jumla 360,000.
Kwa kuwa Bunge la bajeti linakaa kwa miezi mitatu, akihudhuria vikao vyote anapata 32,000,000 (wastani wa 10,000,000 kwa mwezi)
Katika miezi mitatu ya bunge la bajeti Mbunge ana uhakika wa kukunja 22,000,000 kila mwezi.
Kwa kifupi ni kwamba wanavuna kwenye shamba ambalo hawakushiriki kulilima.
Na hapo hatujaongelea...
- Mkopo wa gari ............................. 90,000,000!
- Kiinua mgonggo......................... 240,000,000!
Fikiria mtu yuko bungeni akidai ni mwakilishi wako halafu huko anafanya nini? Badala ya kukutetea wewe anatetea maovu unayotendewa na taasisi ambayo alitakiwa aisimamie kulinda usalama na maslahi yako.Hao jamaa wa mjengoni ndio wakwepa kulipa kodi wa kwanza Tanzania na ndio wanaoongoza kwa kutokua wazalendo..TRA wapo busy kukamata risiti kwenye mifuko ya mauzo ya elfu mbili huku wahuni wachache wakijilia keki ya Taifa peke yao...