Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Acha uji.nga wewe unakazwa na kuhudumiwa sasa unataka akupetpeti ili apoteze muda wa kutafuta money utakula nini wewe? Fu.ck love!
 
Wanakuita Muree
Le mbebizz wa ukwee
Nataka nije mwenyewe
Nyumbani kwa muzee
Nimchukue sista ake na bonge
Niende nae huko mambelee
Nikamwonyeshe malovee
Vipi...niendelee?
Hebu endelea endelea naeza kukusamehe kwa ulichofanya kule... Afu ukimaliza nikute voice ya kubembeleza umetuma
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.

Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.

Sasa nimweleweje kuna upendo apo?

Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
Dada yangu unatatizo, unataka kupetiwapetiwa au unataka kurun ur life!!???..., acha utoto..
 
Ila jamani kuna ukweli apo mwanamke anaitaji mapenzi na maneno matamu na kupetiwa sio pesa uyo dada akijikwamua akapata kazi uyo boy lazima atachwa tu na kumtafuta wa kumpetipeti.
sana yani
 
Siunahudumiwa unataka kuambiwa kakumiss ili....hakuna mwanaume mkamilifu ukimpata akupendae lazima Ana mapungufu kama unataka mashamushamu tafuta mariooo.....ila shikilia hapo ulipo na usawa huu wa magu tunawatafuta wanaume wa dizaini hiyo...ukimuacha nakubebea.
hahaha
 
U r vr right!!! Ampe vyote lkn bila kumpa mda, atention na care... Ipo siku atakutana na kisebengo atamtamkia tu nakupenda mara mbili tatu then bint atajiona amepata malaika na jamaa atabwagwa na pamoja na pesa zote anazompa...
NI KWELI
 
basi wengi tupo hivyo. binafsi sikumbuki lini nimemwambia my wife nakupenda, ukweli ni miaka zaidi ya mitatu au minne, ukiona tunapigiana simu mchana ujue kuna tatizo au tunapeana maelekezo au mrejesho wa shughuli fulani ya kimaendeleo au kifamilia, tunakutana jioniiiii, na tukikutana tunapendana tunajadili maisha fresh, tunalala pamoja kwa kukumbatiana lakini ni zamani sana nimemwambia nakupenda na sioni umuhimu huo, hata yeye anaweza kustuka nikimwambia hivyo atajua either najihami kuna kitu nimefanya au namtega/namkebehi.
Duh....ila sasa nashindwa kukubaliana na hayo mambo kwasababu naumia nataman sana abadilike ila hatak...
 
Kwa nini lugha iko hivi! yaani mwanamke anatendwa ilhali mwanamme anamtenda. Mfano anaolewa/unaoa; unakaza/anakazwa; analiwa/unakula...
Yaani hii imemlemaza sana mwanake ndo maana kila kitu anataka apewe si atoe hata mwili wake unamlipa japo usipofanya vizuri anakasirika starehe yake wewe ulipe.
kila kitu we ona unamwachia mke ana katoto kamoja tu Msimbazi anakukasirikia eti haitoshi! unaacha/anaachwa; unamnunulia/ananunuliwa ...
hata kumpenda utapenda mwanamme yeye apendwe! mh!
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.

Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.

Sasa nimweleweje kuna upendo apo?

Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
Tuombe: Baba tunakuomba mjalie mwanamke huyu mume mwenye maneno mengi zaidi bila matendo, ili akapate kujawa na furaha, ameeen!
 
we fala who said I was after sex?
Ku Punic hivyo vipi tena? Ulitaka kila anaye comment hapa akufurahishe nini? Huyo Magu tu hatumfurahishi utakua wewe!!? Sasa ongeza tusi jingine
 
Hakyamungu mtu akija kupata formula ya kuelewa mahtaj ya mwanamke atakua milionaire
Sio milionare, atakuwa trilionare. Hawa viumbe ni very comlicated. Jamaa anampa kila kitu. Anampa hela na anamkaza kisawasawa mpaka mwenyewe amekiri, lakini wapi demu hajamkubali.

Mungu tu atusaidie sisi wanaume wa ukweli. Tutahangaika sana mpaka mwisho wa uhai wetu
 
Sio milionare, atakuwa trilionare. Hawa viumbe ni very comlicated. Jamaa anampa kila kitu. Anampa hela na anamkaza kisawasawa mpaka mwenyewe amekiri, lakini wapi demu hajamkubali.

Mungu tu atusaidie sisi wanaume wa ukweli. Tutahangaika sana mpaka mwisho wa uhai wetu
kuna mtu alinwah kuniambia dunia ya leo you just care for your own hapness the rest achana navyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom