Msitufanyie hivo bana...kuna mtu alinwah kuniambia dunia ya leo you just care for your own hapness the rest achana navyo
labda hana ladha kwake,,,kutokana na shida zako akitaka kitumbua anakipata tuu nd maana hanaga kulialia,,,,,Habari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
umenena..tena ikifika weekend aende zake mwenyewe amfanyie massage na kumwogesha....tena awe anamuuliza bebi vipinleo hutaki ???Unataka nini wewe haswaaa?Kama anakuhudumia kila kitu na wewe ni wajibu wako kumtimizia haja zake sio kila kitu lazima aseme yeye
Msitufanyie hivo bana...
mpuuzi ni ww....mimi nimuliza swal na waungwana wamejib...We sio mzima akili zako ni za kuazima pumbavu sana wewe.Sasa si uji petipeti mwenyewe........unakuja kutuelezea upuuzi wako hapa.
Hawaridhikagi hawa viumbe
usikute kuna makungwi wa instagrama na watsaap group washaanza kumuingiza mkenge..
Pumbavu sana wewe sasa kwanini unauliza maswali ya kibogas hivyo lahabithi la hamali mkubwa wewe shwani mshazarimpuuzi ni ww....mimi nimuliza swal na waungwana wamejib...
unamtaftia kifo mmbinti wa watu. jamaa lihudumie alafu wale wengne?Bidada;
Asikudanganye mtu. Mwanamke hitaji lake sio fweza na milo, hitaji la mwanamke ni maneno matam mchi ukiwa ndani. Hayo ya fweza ni matokeo ya maujanja yako.
Plan; Kwa kuwa jamaa linakukaza tu kama boot, huku haliku pet pet. Tafuta fundi mzuri, yeye kazi yake kukufikisha kileleni tu baada ya kurejea kutoka kwenye mkazo wako. Bolt zikiwa bado tight, ufarijiwe na maneno ya fundi.
Mengine humu jf, ni ka kuuliza chumvi baharini tu
Mkuu vipi ?Personality yake labda. Kuna wanaume wagumu naturally
Kumbe una chale ulizificha wapii mbona sikuzionaZiko wapi? Ushawahi kuziona?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sina mimi. Sijui Muree alizionea wapi...Kumbe una chale ulizificha wapii mbona sikuziona

Muulize basiiiiiSina mimi. Sijui Muree alizionea wapi...
![]()
![]()
![]()
Labda kwa vile ye anazo basi anadhani kila mtu anazoMuulize basiiiii

Ndio uacheeee ukito...... shenziiii kabisaLabda kwa vile ye anazo basi anadhani kila mtu anazo![]()
![]()
Ndio uacheeee ukito...... shenziiii kabisa
Mwelewe hivo hivoHabari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?