Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,329
😀😀😀😀😀😀😀Hahaahhhha dah sijui lipi kosa kubwa kati ya hili na lile![]()
yanalingana hamna kubwa
😀😀😀😀😀😀😀Hahaahhhha dah sijui lipi kosa kubwa kati ya hili na lile![]()
wanawake bhana unakazwa kisawasawa na bado anasimamia show coz huna kazi,what else do u what...the opposite auHabari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?
hahahahahaTubadilishane nikupe anaepet peti unipe huyo
hahahahaHuku Vanessa anaimba mwanaume Suruali huku mleta mada ye anataka kupetiwa petiwa "Wanawake mwalimu wenu kipofu"
kweliWe utakuwa na matatizo aisee...Sijawahi sikia mwanamke anaekataa matunzo na mshedede wa haja!
Hilo unalotafuta ni rahisi kulipata kwa wanaume walio wengi wasio na pesa au kipaji cha kuhudumia mwanamke ila haitazidi week mbili utalichukia mno na kutamani hata urudi kwa huyo unaemuona hakupendi.
Kwel wanaume tuna safari ndefu mno ili kuja kumridhisha mwanamke!!!
Kumbe unakubali kuwa mahitaji yetu sio sawa, sasa kwanini yeye aridhike ma mahitaji yasio mahitaji yake!!SASA ON A VERY SERIOUS NOTE!
sikiliza mdogo wangu!
KILA MWANADAMU ANA AIAN TOFAUTI YA KUONYESHA UPENDO!
wengine upendo ni kuhudumia mwanamke wake
wngine mapenzi ni kukukaza vizuri
wengine mapenzi ni kukutangaza mbinguni na duniani
wengine mapenzi ni kukuchekesha
wengine mapenzi ni kukubembeleza
wengne mapenzi ni kukupa deal za kitaa
wengine mapenzi ni kukuambia nakupenda mchana usiku na alfajiri
wengine mapenzi ni kukupeleka salooni na kukusifia umependeza
SO HEBU RIDHIKA NA JIFUNZE KUFURAHIA MAPENZI KULINGANA NA MPENZI ULIYENAYE!
HAKUNA FORMULA YA NAMNA NZURI YA KUONYESHA MAPENZI!
MAAANA MI NAMI MWANAUME WA KUNIPIGIA SIMU ASBH MCHANA JIONI NA ALFAJIRI SITAKI HATA KUMSIKIA!
mwanaume wa kushindwa kunipa umbea wa kina james delicious,mashairi ya Darasa na kushare recipes za tambi na nyama ya kuku huyo asee anaweza nipa maisha magumuuuu!
umeona enh?
so hata wanawake mahitaji yetu sio sawa!ni kujitwist tu accordingly!

Unaongelea vile vitanda vya teremka tukaze au!!!Hivi siwezi kumpata wa kumkaza kisawasawa humu? mbona wanakaza wenzangu tu.
hutompata alie na sifa zote,kama unadhan dunia ipo kwa ajil ya kukupa kila ulitakalo na unalolipenda..basi uko nyuma sana kifikraIla kuna wanaume makauzu du ukikaa nalo kama umekaa na baba yako ata maneno matamu alina busy tu ukimpigia simu utafikiri unaojiwa na kamanda wa polisi. Mapenzi ni hisia pesa baadae
Siunahudumiwa unataka kuambiwa kakumiss ili....hakuna mwanaume mkamilifu ukimpata akupendae lazima Ana mapungufu kama unataka mashamushamu tafuta marioooHabari zenu wana JamiiForums,
Jamani leo nimekuja na stori inayonihusu, inshort nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa niko home tuu no job, sasa jamani tangu nikutane nae ni 2 years sasa ananihudumia kwa kila kitu mpaka credit jamani.
Kanipangia na analipa kodi na matumizi yote napata ila haniambiagi ananipenda wala kanimiss au kamiss mashamsham yangu hadi nimwambie ninahamu nae ndipo atume nauli ndio niende na ananikaza kisawasawa nikienda.
Sasa nimweleweje kuna upendo apo?
Matumizi yote napata ila hanipeti peti nimweleweje?


.....ila shikilia hapo ulipo na usawa huu wa magu tunawatafuta wanaume wa dizaini hiyo...ukimuacha nakubebea.




Umeonaeeeeeee....wanawake sijui tunatakaga niniHakyamungu mtu akija kupata formula ya kuelewa mahtaj ya mwanamke atakua milionaire
U r vr right!!! Ampe vyote lkn bila kumpa mda, atention na care... Ipo siku atakutana na kisebengo atamtamkia tu nakupenda mara mbili tatu then bint atajiona amepata malaika na jamaa atabwagwa na pamoja na pesa zote anazompa...Upande mwingine wa shilingi ni muhimu tena sana.
Otherwise huyu dada akija kupata kazi nzuri na kujiweza kiuchumi yuko likely kumuacha jamaa.
Hitaji la kwanza la mwanamke katika uhusiano wa kimapenzi si pesa wala vitu