Maajabu ya mwanaume niliyenae

Maajabu ya mwanaume niliyenae

Yeye yupo Ku provide kwako
Wakati wewe upo after sex
Nyie ni watu wawili tofauti ambao akili yenu inawaza vitu viwili tofauti
 
Shukuru kwa huyo ulienae,wala usiendelee kulalamika....

Wengine tunatamani kama huyo wako hatupati
 
Basi hapo utakuja kukazwa na muuza karanga kisa tu anakutumia tumia vimeseji kila mara hata akiwa juani na karanga zake... ndio mwisho wa stori we jus waiting for time tu ituambie... boya wewe
 
Au unataka apige Tigo ambayo labda hajui!? Wewe ukishakazwa kisawasawa, akiondoka na wewe jiongeze tafuta wa Tigo nae asokote kisawasawa. Tumia Elimu yako ya chuo kufanya mambo yaende utakavyo.
 
Wengine wanalalama waume zao wana pesa kitandani zero wengine kitandani safi pesa hakuna sasa wewe umepata huduma na kutandani unalalama kwa madogo ambayo unaweza kumchokoza kwa vimeseji na kumtakia pole na mengine.....nakubaliana na wadau mwanamke hajui anachokitaka
 
siamini hivyo, kwakwel wanawake wa dunia hii ya leo wanachotaka kwa mwanaume ni pesa tu, mapenzi baadae..in fact hamjielew mnatakaga nn Reina princess
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom