Maajabu ya jukwaa hili yanayonitatiza

Maajabu ya jukwaa hili yanayonitatiza

everlenk anastress mbaya....sijui hata dinner kama aliweza kupata....

Hivi darling shem man u wamepona kweli? Niliishia kwenye 2-1 sijui nini kiliendelea
 
Last edited by a moderator:
Wataanzaje kupona?
Mie nimeamia leicester city

Hahahaaaaa!! Unamuhama mdogo wangu? Wee nitakupa talaka hata kama yeye hataki, kama namuona hata maji yalivyo machungu huko alipo, cute b pole sana mdogo wangu, huyu mumeo sio mtu mzuri kabisa.
 
Last edited by a moderator:
nikiri ukweli nilielewa ila msg ilichepuka. i meant k- quote yule aliyesema hatokaa achagie wkt ndo alikuwa anachangia. niombee msamaha kwa heaven sent

Hamna mkuu, walaa.....
Nlitaka tu nijue kiswahili chake...
 
Hahahaaaaa!! Unamuhama mdogo wangu? Wee nitakupa talaka hata kama yeye hataki, kama namuona hata maji yalivyo machungu huko alipo, cute b pole sana mdogo wangu, huyu mumeo sio mtu mzuri kabisa.

Teh teh nliishabikia kwa ajili yake kumbe timu mbovu. Uzalendo kwisha...


Mdogo wako ana mgomo na jf...
 
Last edited by a moderator:
Hamna mkuu, walaa.....
Nlitaka tu nijue kiswahili chake...

nafikiri ni kustarehe/ kubadilishana mawazo ktk hali ya furaha. ina maana nyingi ila nimetaja machache
 
Teh teh nliishabikia kwa ajili yake kumbe timu mbovu. Uzalendo kwisha...


Mdogo wako ana mgomo na jf...

Mweeeh shem, kwani kiapo cha kwenye shida na raha kilikuwa na ukomo? Mbona kwenye shida unamkimbia mwenzio unamuacha agugumie mwenyewe?
 
Mweeeh shem, kwani kiapo cha kwenye shida na raha kilikuwa na ukomo? Mbona kwenye shida unamkimbia mwenzio unamuacha agugumie mwenyewe?

Shem pesa zisumbue, mke asumbue mara masikukuu yasumbue he hee na timu ikusumbuwe? akati zipo nyengine...

Nimemwambia tuhame...leicester
 
Shem pesa zisumbue, mke asumbue mara masikukuu yasumbue he hee na timu ikusumbuwe? akati zipo nyengine...

Nimemwambia tuhame...leicester

Hahahaaaa! Yule hahami ng'oooo, man u sijui ana hisa!!
 
Back
Top Bottom