Maajabu ya jukwaa hili yanayonitatiza

Maajabu ya jukwaa hili yanayonitatiza

Nahisi we jamaa ni kati ya wale watu wanaopuuzia watu hata wasiowajua just because wanachoongea au walivyo hawaendani na wewe.

Kila mtu anauwezo wake wa kufikri na kupambanua mambo. Usimdharau mtu kisa kauliza kitu ambacho wewe unauzoefu nacho au unahisi ni cha kitoto.

Uelevu ni kumuelewa kila mtu either ameuliza kitu cha kijinga au cha kitoto. Ukimjibu accordingly utaheshimika zaidi na utakuwa umemsaidia yeye au watu wengine.

Hatuishi kwa ajili yetu wenyewe bali tunaishi kwa ajili ya watu wanaotuzunguka. THINK!!
 
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.

Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story

Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.

hahaha.

sasa ndo nn hii?
 
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.

Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story

Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.

hahaha.
eheeeeeh kwan hapo hujachangia???!!!!
 
binadamu hatuko sawa tumetofatiana mawazo sasa iweje tukubaliane kwa kla ktu...

Hatuwezi kukubaliana kwa kila kitu, ndio maana hata huu uzi kuna ambao hatujaupuuza tumechangia na wapo walioupuuza wakapita tu.
 
Back
Top Bottom