everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
nitafutie shem wangu Everlenk maana leo chelsea tumeanza kurudi kwa kasi ya ajabu..
Uwiiiii Shem nyie Hamna lolote mmemfanyia hiyana Mou wa watu,BTW hongereni sana......
nitafutie shem wangu Everlenk maana leo chelsea tumeanza kurudi kwa kasi ya ajabu..
Njoo Shem langu unifariji hata kidogo yaani nililala ndo nimeamka tena hata mawazo hayajaisha.....on loan Hongera sana naona hawakuangushi.....
Hata usiwaze mpendwanikiri ukweli nilielewa ila msg ilichepuka. i meant k- quote yule aliyesema hatokaa achagie wkt ndo alikuwa anachangia. niombee msamaha kwa heaven sent
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.
Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story
Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.
hahaha.
Haaah me hata sisomagi uzi za humu hata moja siingiagi kabisa
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.
Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story
Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.
hahaha.
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.
Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story
Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.
hahaha.
Hahahaaaaa!! Unamuhama mdogo wangu? Wee nitakupa talaka hata kama yeye hataki, kama namuona hata maji yalivyo machungu huko alipo, cute b pole sana mdogo wangu, huyu mumeo sio mtu mzuri kabisa.
Teh teh nliishabikia kwa ajili yake kumbe timu mbovu. Uzalendo kwisha...
Mdogo wako ana mgomo na jf...
Mweeeh shem, kwani kiapo cha kwenye shida na raha kilikuwa na ukomo? Mbona kwenye shida unamkimbia mwenzio unamuacha agugumie mwenyewe?
Teh teh tehHaaah me hata sisomagi uzi za humu hata moja siingiagi kabisa
Mkuu Hili jukwaa lina wachangiaji wengi ukiacha jukwaa la siasa.
Pili topic za huku ni Rahisi sana,kuliko Majukwa Mengine.haziitaji utalaam Mwingi.
Halafu kama ulivyoambiwa hapo juu,Thread ikiwa ya kipuuzi sana,Basi wadau wataitana kupiga story
Mimi sijawahi kuchangia katika hili jukwaa na Kamwe sitokuja kufanya hivyo.
hahaha.