Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Hii remedy ya kuondoa mabaka ya chunusi naikumbuka sana Dada wa ITV Rehema Salim alikuwa na page katika magazeti ya shigongo kuhusu urembo ni zamani sana 2000's kweusi.

Rehema%20Salim.jpg
 
Aisee, somo zuri mno. Mie nikishapika huwa naisikia mikono inanuka vitungui kutwa nzima. My toothpaste budget just doubled
 
Wala siyo maajabu bali ni wewe kutoshughulisha ubongo wako.

Niambie unaponunua dawa ya meno huwa unasoma ingredients zake?

Unazijua hizo ingridients au ulishawahi hata kuzi-google ujue faida na madhara yake?

Hongera kwa ubongo fresh ungekuwa wa kununua na mi ningenunua huo fresh ka wako lkn kwa kuwa unatoka kwa Mungu tumepewa sawa na mapenzi yake. Shukuru we uliyepewa fresh na unaushughulisha. Tunaelimishana na kufumbumbuana mkuu sio kupondana.
 
Bi mkubwa taratibu kidogo wajua siye watu wa pwani tukianza anika habri zetu hapa tutazua mtafaruku wa moyo kwa wengine...

Mambo kama haya Mkurya wa Kyabakari atayajulia wapi....teh teh teh!!!

Lols. Kwi kwi kwi
 
matangazo ya madawa yenu yamekatazwa au wewe unakibali

Nafikiri moja kati ya utaahira mbaya kabisa ni ule unapmuongoza mtu kukirupuka. Mtoa mada hakurikomend aina yeyote ya dawa, na nafikiri kuna sehemu ametanabahisha kuwa aina yeyote ya dawa itasev papas, kuna haja gani ya kuhusisha mada yake na promo?

Kukaa kimya ni mchango pia
 
Sie tunaoswaki kutwa mara sita tumeshakufa!
Ndiyo maana wapo wanaodai kuwa dawa za meno zinaweza kusababisha cancer kwa sababu nyingine zina kitu inaitwa sodium lauryl sulfate ambayo inapatikana pia kwenye shampoo na products nyingine za kufanyia usafi.

Zinduna anaposema kuwa dawa za meno zinaweza kusafisha vipuli, michoro ya watoto ukutani, kusafisha kucha na kuondoa mabaka kwenye meza na sakafu hakukosea kwa sababu zina sodium lauryl sulfate.

Inadaiwa kuwa sodium lauryl sulfate yenyewe haisababishi cancer, bali pale tuu inapojichanganya na kemikali nyingine kama carcinogen (ile ambayo inafanya usikie mdomo wako ukiwa fresh baada ya kupiga mswaki).

Kama ulisoma ule uzi wangu wa Colgate Total na cancer utajua madhara ya carcinogen: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/707605-colgate-total-ni-salama-au-inasababisha-kansa.html

Pia zamani makampuni yalikuwa yanaweka chloroform kwenye dawa za meno kabla ya kupigwa marufuku kufanya hivyo. Hata hivyo, inadaiwa kuwa makampuni haya bado yanaweka hii kitu kwenye hizo dawa lakini kiana kupitia triclosan!

Tafiti zinadai kuwa triclosan inavunjwavunjwa kwa njia za kikemikali na kuwa chloroform pale inapokutanishwa na chlorine kupitia maji.



Chloroform inasababisha wanyama kuzaa viumbe wenye ulemavu. Kwa binadamu tafiti zinadai kuwa chloroform inasababisha cancer ya ini.

But who knows, pamoja na utamu aliosema watu8, labda dawa ya meno ikiwekwa ndani ya kipochi manyoya na kufanikiwa kuingia mpaka sehemu ya uzazi inaweza kumfanya mwanamke ajifungue mtoto mlemavu?

Kumbuka utawala ya Hitler chini ya NAZI na Dkt Joseph Mengele walikuwa wanatumia chloroform kuua watu mara moja kwa kuidunga kwenye moyo: soma Medical Killing and the Psychology of Genocide: The NAZI Doctors by R.J. Lifton
 
Back
Top Bottom