Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Sisi wakati huo twasoma boding skuli, tulikuwa twatumia dawa ya meno kufoji stampu za posta kufuta ile mihuli iliyokuwa ikigongwa na posta...

hex22.gif

Mkuu hii unanikumbusha mbali sana duuuh.
 
nitajaribu kufanya hivyo kidevuni, maana nimenyoa ndevu baada ya miaka 10 sasa hayo mapele balaa....

hayo mapele hata mimi yalinisumbua sasa natumia after shave fulani inaitwa bump patrol kwisha niko poa kidevu kama cha mtoto mchanga
 
hayo mapele hata mimi yalinisumbua sasa natumia after shave fulani inaitwa bump patrol kwisha niko poa kidevu kama cha mtoto mchanga
wajua sijanyo mandevu miaka kama 8 hivi, sasa juzi kati nikapatwa na kama kipele hivi nikashauriwa nyoa sasa balaa lake hapo kaka....!
 
wajua sijanyo mandevu miaka kama 8 hivi, sasa juzi kati nikapatwa na kama kipele hivi nikashauriwa nyoa sasa balaa lake hapo kaka....!

dah pole sana mkuu next time ukinyoa jaribu hiyo after shave vipi ulivyonyoa ulijisikia mwepesi eeh!
 
Sisi wakati huo twasoma boding skuli, tulikuwa twatumia dawa ya meno kufoji stampu za posta kufuta ile mihuli iliyokuwa ikigongwa na posta...

hex22.gif

Best umenikumbusha mbali
Ila ilitusaidia
 
Wala siyo maajabu bali ni wewe kutoshughulisha ubongo wako.

Niambie unaponunua dawa ya meno huwa unasoma ingredients zake?

Unazijua hizo ingridients au ulishawahi hata kuzi-google ujue faida na madhara yake?

Umesema ukweli
Mi mwenyewe cjawahi soma
Mpaka nilipo enda kwenye semina fulani hivi ndo niliambiwa haya ulotuambia hapa mkuu!

Tangu siku hyo ctumii tena hizi dawa....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
dah pole sana mkuu next time ukinyoa jaribu hiyo after shave vipi ulivyonyoa ulijisikia mwepesi eeh!

nilikosa usingizi kwa kuwa kidevu kilikuwa chepesi sana....sitanyoa tena zote...!
 
Hongera kwa ubongo fresh ungekuwa wa kununua na mi ningenunua huo fresh ka wako lkn kwa kuwa unatoka kwa Mungu tumepewa sawa na mapenzi yake. Shukuru we uliyepewa fresh na unaushughulisha. Tunaelimishana na kufumbumbuana mkuu sio kupondana.

Mungu hakukupa ubongo ukae nao tuu bali uutumie ipasavyo kwa faida yako na wengine.

Vingenevyo, usingeitwa binadamu. Usitake kujilinganisha na mnyama.
 
Mungu hakukupa ubongo ukae nao tuu bali uutumie ipasavyo kwa faida yako na wengine.

Vingenevyo, usingeitwa binadamu.

Sasa wote tungekuwa juu nani angekuwa chini, Acha mambo ya ajabu, mkubwa Yupo sababu ya Mdogo, wenye ufahanu wa kutosha kama wewe wapo sabb tusiojua tupo. Shughulisha ubongo wako kadri unavyoweza na ujue umeweza sbb wengine wameshindwa. Uwezi ukaweza Kila kitu, ndo maana kuna doctor's, waalimu, n.k.
 
daa umenikumbusha mbali sana mkuu
Sisi wakati huo twasoma boding skuli, tulikuwa twatumia dawa ya meno kufoji stampu za posta kufuta ile mihuli iliyokuwa ikigongwa na posta...

hex22.gif
 
Naskia dawa ya meno inafaa kusugulia ma gaga ya miguu kuondoa weusi kwenye makalio pamoja na kutengezea mkorogo kwa kina dada
Jaribu leo uone tofauti
 
Back
Top Bottom