sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Dawa ya meno ikishakuwa bei chee tu, jua hapo kuna mushkeli....
Mkuu huu mzigo ni genuine hata india huwezi kupata wa namna hii
Dawa ya meno ikishakuwa bei chee tu, jua hapo kuna mushkeli....
hahahha asante mkuu
hii haiwafai wale wanaptumia kondom...
Dawa ya meno pia husaidia kuondoa mikwaruzo kwenye CD. weka kidogo kwenye pamba then sugua taratibu in circular motion.
Halafu pia wakati wa mechi za ugenini hii makitu ya dawa za meno ni muhimu sana...
Unaichukua kidogo sanaaaa halafu unaipaka juu ya abdala kichwa wazi...
Mwanawane hii makitu ukishaipaka halafu ukaizamisha kunako kipochi manyoya...
Luuuh binti lazima aing'ang'anie ndude maana inatengeneza kitu kama muwasho hivi na kijoto flani kama kile cha viksi ikitiwa puani....
Lazima utakuwa dr ww
Sisi wakati huo twasoma boding skuli, tulikuwa twatumia dawa ya meno kufoji stampu za posta kufuta ile mihuli iliyokuwa ikigongwa na posta...
![]()
nitajaribu hii
Halafu pia wakati wa mechi za ugenini hii makitu ya dawa za meno ni muhimu sana...
Unaichukua kidogo sanaaaa halafu unaipaka juu ya abdala kichwa wazi...
Mwanawane hii makitu ukishaipaka halafu ukaizamisha kunako kipochi manyoya...
Luuuh binti lazima aing'ang'anie ndude maana inatengeneza kitu kama muwasho hivi na kijoto flani kama kile cha viksi ikitiwa puani....
Hahahahaaaa... Abdala kichwa wazi, kipochi manyoya... daaah
Kwa sababu ya karafuu. This means unaweza hata kutumia karafuu lkn nayo iwe kdg sana mana ina joto balaa
Umenikumbusha wakati nasoma advance Sengerema secondary kuna jamaa alikuwa bingwa wa kufuta stamp inakuwa mpya kabisa
Halafu pia wakati wa mechi za ugenini hii makitu ya dawa za meno ni muhimu sana...
Unaichukua kidogo sanaaaa halafu unaipaka juu ya abdala kichwa wazi...
Mwanawane hii makitu ukishaipaka halafu ukaizamisha kunako kipochi manyoya...
Luuuh binti lazima aing'ang'anie ndude maana inatengeneza kitu kama muwasho hivi na kijoto flani kama kile cha viksi ikitiwa puani....