Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Sisi wakati huo twasoma boding skuli, tulikuwa twatumia dawa ya meno kufoji stampu za posta kufuta ile mihuli iliyokuwa ikigongwa na posta...

hex22.gif
Sisi tulikuwa tunaweka kwenye jipu liwai kuiva.Jombaa ukiweka uck asubuhi mtumbueni.Sasa sijui hizi za siku hizi zinafaa?.
 
Sisi tulikuwa tunaweka kwenye jipu liwai kuiva.Jombaa ukiweka uck asubuhi mtumbueni.Sasa sijui hizi za siku hizi zinafaa?.
Bado watu huweka...

Wengine pia hutumia kitunguu swaumu au karafuu...
 
Pia husafisha taa za gari zilizofifia, paka kidogo kidogo kwenye taa isubiri kama dakika tano ikauke, chukue vimaji kidogo na kitambaa au mswaki uliotumika sugua taratibu hadi litoke povu, chukua maji masafi ondoa like povu la ile dawa utashuhudia muujiza uliofanywa na ile dawa.
Hii ni kweli kabisa, nimejaribu na inafanya kazi.
 
Inasaidia hata kwenye viuvimbe(vinavyoweza pelekea vijipu) kwenye mwili, inasambaratisha.
 
Back
Top Bottom