Hata maji yake, unaoshea kwa bwamku au bimku. Lkn uyachemshie izo karafuu. Au mke anaweza kutafuna kdg then akafanya blow job. Au hata pipi Kali zile zenye mint
Kuondoa shombo la samaki au kitu chochote chenye harufu kali kama vile kitunguu thomu.
kwa kusafisha, minya dawa ya meno kidogo tu kwenye viganja vya mikono yako kasha tapakaza mikononi mpaka katikati ya vidole kwa ustadi kabisa kisha nawa mikononi yako vizuri na wala huhitaji sabuni ya manukato wala nini, nawa na maji safi na harufu mbaya itakuwa imetoweka
Kusafishia vipuli kama vile vya fedha au dhahabu, bibi yangu binti Hamdani wala alikuwa hahangaki kwenda kwa sonara kusafisha dhahabu zake. Kwa kutumia dawa ya meno, dhahabu zake zilikuwa zinabaki na mng'ao kama vile ni mpya kabisa
Kuondoa madoa doa ukutani au michoro ya watoto ukutani. Ukiwa na watoto wadogo usitarajie nyumba yako kubaki na unadhifu ule ule kama awali kabla ya kuwa na watoto. watoto wadogo kuchafua sana kuta za nyumba, lakini sasa kuna suluhisho, nalo ni dawa ya meno ya aina yoyote inaweza kabisa kusafisha ukuta na kuufanya ung'ae kama mwanzo
Kuondoa mabaka mabaka ya chunusi au makovu ya magonjwa ya ngozi, inaweza kuwashangaza wengi, lakini nawashauri mjaribu. Ili kuondoa tatizo hilo ni vyema mtu mwenye tatizo hilo akatumia dawa hii usiku. kinachotakiwa kufanya ni kupaka dawa ya meno kwenye maeneo yaliyoathirika na mabaka mabaka ya chunusi au maradhi ya ngozi kabla ya kulala halafu asubuhi unasafisha uso wako vizuri na utashangazwa na maajabu ya dawa ya meno. unaweza kufanya zoezi hilo kwa wiki moja kisha uje hapa kutoa ushuhuda.
Kusafishia kucha. Kama mlikuwa hajui, ni kwamba hakuna tofaui ya kucha na meno, kile kilichotumika kutengenzea meno ndicho hicho hicho kilichotumika kutengenezea kucha, kwa hiyo kama meno yanaweza kusafishwa na kuachwa imara na dawa ya meno, seuze kucha. hebu jaribuni muone maajabu haya ya dawa ya meno. Ndugu yangu lara 1 jaribu maajabu haya upendezeshe kucha zako shosti
Kuondoa abaka mabaka kwenye meza zetu. sina maneno mengi, jaribuni muone, paka dawa ya meno kwenye kijitaulo kisha sugua kwa umahiri mkubwa, utashangazwa na maajabu ya dawa ya meno.
Hata maji yake, unaoshea kwa bwamku au bimku. Lkn uyachemshie izo karafuu. Au mke anaweza kutafuna kdg then akafanya blow job. Au hata pipi Kali zile zenye mint
Pia kwa mwanaume atasikia muwasho fulani hivi kama akilambwa koni na mwanamke aliyetoka tuu kupiga mswaki na dawa ya meno.
Lakini traces za fluoride calcium na phosphates kwenye mdomo zinaweza kusabisha kuwashwa vibaya kwa kipochi manyoya kwa sababu kipochi manyonya ni delicate zaidi kuliko mdomo.
Triclosan iliyoko kwenye dawa ya meno unaua bakteria mdomoni. Logically, kama utatumia dawa ya meno ndani ya kipochi manyoya itaua bakteria hata wale ambao hawatakiwi kuuawa!
Hii haina tofauti na wale wanaoshauri kutoosha kipochi manyoya kwa sabuni kwa sababu zinakuwa na triclosan inayoua backteria, nk.
Pia zipo tafiti zinazodai kuwa dawa ya meno inaweza kupunguza nguvu za kiume kwa maana ya kutokuwa na erection imara.
Tafiti hizo zinadai kuwa bakteria walioko mdomoni wanazalisha nitric oxide ambayo ni nyeti sana kuimarisha erection.
Hivyo, dawa za meno zenye triclosan zinaua hao bakteria na hivyo kupunguza usalishaji wa nitric oxide.
Hata hivyo, haina maana kuwa wanaume wasizingatie usafi wa midomo na meno yao, bali kama wana-mind sana watafute njia mbadala ya kuosha midomo na meno yao bila kutumia za dawa za meno.
Pia husafisha taa za gari zilizofifia, paka kidogo kidogo kwenye taa isubiri kama dakika tano ikauke, chukue vimaji kidogo na kitambaa au mswaki uliotumika sugua taratibu hadi litoke povu, chukua maji masafi ondoa like povu la ile dawa utashuhudia muujiza uliofanywa na ile dawa.
Ndiyo maana wapo wanaodai kuwa dawa za meno zinaweza kusababisha cancer kwa sababu nyingine zina kitu inaitwa sodium lauryl sulfate ambayo inapatikana pia kwenye shampoo na products nyingine za kufanyia usafi.
Zinduna anaposema kuwa dawa za meno zinaweza kusafisha vipuli, michoro ya watoto ukutani, kusafisha kucha na kuondoa mabaka kwenye meza na sakafu hakukosea kwa sababu zina sodium lauryl sulfate.
Inadaiwa kuwa sodium lauryl sulfate yenyewe haisababishi cancer, bali pale tuu inapojichanganya na kemikali nyingine kama carcinogen (ile ambayo inafanya usikie mdomo wako ukiwa fresh baada ya kupiga mswaki).
Pia zamani makampuni yalikuwa yanaweka chloroform kwenye dawa za meno kabla ya kupigwa marufuku kufanya hivyo. Hata hivyo, inadaiwa kuwa makampuni haya bado yanaweka hii kitu kwenye hizo dawa lakini kiana kupitia triclosan!
Tafiti zinadai kuwa triclosan inavunjwavunjwa kwa njia za kikemikali na kuwa chloroform pale inapokutanishwa na chlorine kupitia maji.
Chloroform inasababisha wanyama kuzaa viumbe wenye ulemavu. Kwa binadamu tafiti zinadai kuwa chloroform inasababisha cancer ya ini.
But who knows, pamoja na utamu aliosema watu8, labda dawa ya meno ikiwekwa ndani ya kipochi manyoya na kufanikiwa kuingia mpaka sehemu ya uzazi inaweza kumfanya mwanamke ajifungue mtoto mlemavu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.