Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Maajabu ya dawa ya meno haya hapa

Pia husafisha taa za gari zilizofifia, paka kidogo kidogo kwenye taa isubiri kama dakika tano ikauke, chukue vimaji kidogo na kitambaa au mswaki uliotumika sugua taratibu hadi litoke povu, chukua maji masafi ondoa like povu la ile dawa utashuhudia muujiza uliofanywa na ile dawa.
 
Asante kutupa shule kidogo ngoja tujaribu tutaleta mrejesho tu
 
Anayehitaji dawa ya meno kwa bei rahisi kabisa yani sawa na bure ani pm.

**Mzigo utakufuata popote ulipo.

Dawa ya meno ikishakuwa bei chee tu, jua hapo kuna mushkeli....
 
Shukrani sana,ngoja nikajaribu nakuja kutoa ushuhuda
 
Inaweza kutumika kama kilainishi kwa wale wanaojichua?
 
Dawa ya meno pia husaidia kuondoa mikwaruzo kwenye CD. weka kidogo kwenye pamba then sugua taratibu in circular motion.

Nkisikia circular motion nasisimka....sijui kwann.
 
Halafu pia wakati wa mechi za ugenini hii makitu ya dawa za meno ni muhimu sana...

Unaichukua kidogo sanaaaa halafu unaipaka juu ya abdala kichwa wazi...

Mwanawane hii makitu ukishaipaka halafu ukaizamisha kunako kipochi manyoya...

Luuuh binti lazima aing'ang'anie ndude maana inatengeneza kitu kama muwasho hivi na kijoto flani kama kile cha viksi ikitiwa puani....

kweli kabisa , na ukipaka tu kwenye mkuyati kisha unaiweka kwa muda wa dk 15 kwenye hii chombo, baada ya hapo ni furu kubambia tu meli ya mgiriki mpaka kina kirefu yaani ni lazima mtoto anate na biti kwani utakuwa ni mwendo wa gusa unate tu u mwanzo mwenga.
 
Back
Top Bottom