Daniel Myl
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 535
- 270
Ray anaigiza ushambaboy na bonge la mtambi na nywele za ku curl



Ata mkizifungia sie tuna download tuna tumezifungia hizo sinema za nje ili tuweze kununua bidhaa za kwetu.....
Hahahaha aisee hiyo ni hatari.*Dah ndio maana huwa siangalii bongo movie,eti kuna kipande MTU anawaza miaka 10 iliyopita alaf kwenye ukuta kuna picha ya rais Magufuli*![]()



mkuu apo juu umenivunja mbavuBongo movie wanapika pombe ongeongezea namb1.Jambazi anavua viatu anapovamia nyumbani kwa mtu.
2.Mtu anapigwa risasi mguuni anatoka damu mdomoni
3.Mtu anatoka kulala huku amepaka lipstick na make-up
4.Mlinzi wa geti lazima awe zezeta.
5.Itachukua dadaki 20 mtu kuwasha gari na kuondoka nyumbani(wataonyesha matairi,seat zote,side mirror etc)
6.Jambazi lazima avae koti jeusi refu na miwani nyeusi na.
7.Ikitokea wapenzi wakagombana watavunja glass tu sijawahi kuona mtu anavunja TV.
8.Mtu anashuka kwenye gari amevaa shati la njano akifika ndani utamuona kavaa jeusi (sijui kabadilisha saa ngapi)
9.Mtu anapigwa risasi part one,anakufa part two.
aah bongo muvi uhalo mtupu.![]()
![]()
![]()
hiyo kali
Sigara yenyewe inavyovutwa sasa,lazima acheke ha ha ha ha haa10. Jambazi lazima avute masigara hovyo-hovyo