Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,950
- 146,209
Kama mimi ni kafiri huo ni uthibitisho Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Nyie makafiri mna macho lakini hamuoni, mna masikio lakini hamsikii. Ila kafiri ni kafiri tu
Angekuwapo kusingekuwa na kafiri.
Umekanusha uwepo wa Mungu bila kujua.
Kwa sababu akili yako finyu.
Ndiyo maana mpaka sasa huja define maajabu ni ni na huju Socratic Method ni nini.
Wewe ni ngumbaru tu.