Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Hapo ajabu ni lipi mkuu? Dadavua kidogo, huenda sote hatujaona kitu ulicholenga
Mie muislam pia.
 
Huyu aliyeanzisha uzi sio muislam jamni..
😂😂😂😂😂
Kuna watu huwa wanapenda sana uchokozi humu ndani daah oya jacobo futa uzi wako
 
Hapo ajabu ni lipi mkuu? Dadavua kidogo, huenda sote hatujaona kitu ulicholenga
Mie muislam pia.
Asiyejua maana, haambiwi
Huyu aliyeanzisha uzi sio muislam jamni..
😂😂😂😂😂
Kuna watu huwa wanapenda sana uchokozi humu ndani daah oya jacobo futa uzi wako
Mzee hunijui, sikujui
 
Asiyejua maana, haambiwi maana
Basi huna maana yoyote, uislamu haujawahi kukataza kutoa elimu, hapo umeenda kinyume na mafundisho ya mtume s.a.w, ikiwa unaijua hata herufi 1 tu ya quran basi fundisha hiyo hiyo..

We ndio utuletee uswahili wako hapa sijui asiejua maana haambiwi maana!!

Nyinyi ndio malmafamya waislam tudharaulike.
 
Back
Top Bottom