allah

Allah ( A(H)L-ə, ə-LAH; Arabic: الله, IPA: [ɑɫˈɫɑːh] ) is the Arabic word for God, particularly the God of Abraham. Outside of the Middle East, it is principally associated with Islam (in which it is also considered the proper name), although the term was used in pre-Islamic Arabia and continues to be used today by Arabic-speaking adherents of any of the Abrahamic religions, including Judaism and Christianity. It is thought to be derived by contraction from al-ilāh (الاله, lit. 'the god') and is linguistically related to God's names in other Semitic languages, such as Aramaic (ܐܲܠܵܗܵܐ ʼAlāhā) and Hebrew (אֱלוֹהַּ ʾĔlōah).
The word "Allah" now implies the superiority or sole existence of one God, but among the pre-Islamic Arabs, Allah was a supreme deity and was worshipped alongside lesser deities in a pantheon. Many Jews, Christians, and early Muslims used "Allah" and "al-ilah" interchangeably in Classical Arabic. The word is also frequently, albeit not exclusively, used by Bábists, Baháʼís, Mandaeans, Indonesian Christians, Maltese Christians, and Sephardic Jews, as well as by the Gagauz people.
While it is an Arabic word and has historically been used by Muslims and non-Muslims alike in the Arab world, the usage of "Allah" by non-Muslims has been controversial in non-Arab parts of the Muslim world, especially Malaysia, where it became illegal for non-Muslims to use "Allah" after the country experienced a social and political upheaval in the face of the word being used by Malaysian Christians and Sikhs.

View More On Wikipedia.org
  1. OMKEIT 93

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu: Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam? Qur’an iko wazi kuhusu jambo...
  2. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Open Letter to Islamic Religion- Holding Firm to the Light of Allah

    🕌🕌🕌 🕋🕋🕋☪️☪️☪️ 🇺🇬 OPEN LETTER TO ISLAMIC RELIGION UGANDA - HOLDING FIRM TO THE LIGHT OF ALLAH ASALAAM ALEIKHUMU 🙏🏿 🔘 For centuries, faith has been a source of hope, unity, and moral strength. Yet today, in Uganda our community faces growing resistance and criticism from...
  3. Matovu Godfrey

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Sheikh Abdul Rahman Buyondo - may Allah keep you strong

    🕌 💖 Sending Healing Vibes 💖 To our dear sheikh Abdul Rahman Buyondo Dear sheikh Buyondo, You are stronger than you know, and loved more than you realize. 🌟 Wishing you comfort, rest, and a smooth recovery. May each day bring you closer to full health and...
  4. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanadai yanayomtokea Dotto ni laana kutoka kwa Allah kwasababu anakula kitimoto

    Baadhi ya waislamu kwenye mitandao ya kijamii wanadai yanayomtokea Dotto Magari ni laana kutoka kwa Allah kwasababu amekua akiudhalilisha uislam kwa kula kitimoto na kuvaa cheni ya dhahabu ya msalaba wakati yeye ni Muislam. Kobaz hao wanadai Dotto alishaonya(gwa) kula kiti moto hadharani na...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Paris: Mwanaume awachoma visu wanawake watatu, akiwemo mwanamke mjamzito, huku akidai alifanya hivyo kwa ajili ya Allah

    Tukio hilo lilitokea majira ya saa 3:30 asubuhi jijini Paris. Wanawake hao wenye umri wa miaka 19, 24 na 36 walijeruhiwa kwa kuchomwa visu, huku mmoja wao akiwa mjamzito. Mshukiwa, mwanaume mwenye umri wa miaka 31, mwenye asili ya kiarabu, alidhibitiwa na raia waliokuwa eneo la tukio kabla ya...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Tanko Tamada adai : Allah alikuwa ni mungu wa familia ya Muhammad na sababu yake ni hapa chini

    Aisee kama ni kweli itakuwaje Allah is prophet Muhammad family deity, because Mohammed father name is Abdullah, which means servant of Allah or slave of Allah. And he was pagan worshipping Allah
  7. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Umoja wa waarabu wanawanyanyasa MaShia kwa kuwafunga, kuwafukuza na kufunga misikiti yao. Hili halitavumilika. Laana za Allah ziwe juu yao

    MAADUI WA WAFUASI WA AHLUL BAIYT WANAZIDI KUJIDHIHIRISHA KWA KUKAA UCHI. Umoja wa kiarabu washenzi wa kiwahabi Saudia, Qatar, Bahrain, UAE na Kuwait wenye asili ya Kiyahudi wameanza kuwafukuza Mashia kwenye nchi zao, kutaifisha mali zao na hata kufunga misikiti yao. Ukweli ni kuwa wanarudisha...
  8. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mlango bahari wa Hormuz wamfanya Trump kumtukuza Allah!

    Jumanne itakuwa Siku ya Mitambo ya Umeme, na Siku ya Madaraja, zote kwa pamoja nchini Iran. Hakutakuwa na siku mfano wa hiyo !!! Fungueni hiyo Mlango wa Bahari sasa hivi, enyi vichaa, la sivyo mtaishi katika Jahannamu – SUBIRINI MUONE! Atukuzwe Allah . Rais DONALD J. TRUMP.
  9. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Rais wa Iran aziomba radhi nchi jirani walizoshambuliwa

    KATI YA AJENDA ILIYOKUWA IKIMTESA IRAM WALIAMBIWA KABLA YA MAZUNGUMZO YOYOTE AOMBE RADHI NCHI JORA. ALIZOZIPIGA TUENDELEE HATIMAE 🚨 Iran's President Masoud Pezeshkian apologised on Saturday to neighbouring countries for attacks launched during the Islamic republic's war with ‘Israel’ and the...
  10. Zee la madawa

    JamiiForums Tanzania Zahir Zorro moto wa Allah hauzimiki kwa fire extinguisher, ni wa milele

    OOOH ZAHIR ZORO MOTO WA ALLAH HAUZULIKI Mzee Zahir Ali Zoro — Mmanyema wa kabila, mzaliwa wa Uislamu — kwa bahati mbaya aliteleza katika mtego wa anasa za dunia. Akauacha Uislamu, dini aliyozaliwa nayo, dini aliyojua haki yake, mwisho wake na uzito wa kuigeuka. Si hilo tu; aliwavuta pia...
  11. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Taliban yaruhusu wanawake kupigwa ila wasivunjwe mifupa au kupata majeraha

    Kiongozi mkuu wa Taliban, Hibatullah Akhundzada amesaini sheria mpya ya adhabu nchini Afghanistan ambayo inaruhusu wanaume kuwapiga wake na watoto wao, isipo kuwa vipigo hivyo havisababishi kuvunjika kwa mifupa kwenye miili yao. Aidha mazingira ya kisheria kwa wanawake yamezidi kuwa magumu...
  12. Clever505

    JamiiForums Tanzania Kati ya waislam na Allah nani muongo kwenye hili?

    Waislam wote duniani wanafundishana kwamba vitabu vya Mungu; Tourati, Zaburi na Injili vimechakachuliwa. Hili fundisho mmepata wapi! Mbona mnamuona Mungu ni dhaifu sana kiasi kwamba hawezi kulinda vitabu vyake? Yaani Bukhari ana kitabu chake cha Hadith kipo hadi leo tangu kiandikwe ila Mungu...
  13. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Muhammad Alimaanisha nini Kumwambia hivi Allah?

    Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema". Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
  14. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Allah alimfundisha Mtume kutengeneza Kimea

    Ndugu zangu Waislam Quran 16 : 67 "Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili." Tumeruhusia kutengeneza kunywa na kuuza vilevi. Tumswalie mtume. Jagina gallow bird adriz Ertugrul Bey Wazolee Cc...
  15. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Mtume Mohamed na Upendeleo wa Allah

    Kama Duniani tu Allah alimpendelea Mtume wetu na kumruhusu kuoa wanawake 10+ . Nina amini huko Peponi atakuwa anawazagamua sana wale Mahurumain wa Allah. Quran 33:50 "Ewe Nabii! Tumekuhalalishia wake zako ulio wapa mahari yao, na ulio wamiliki kwa mkono wako wa kulia katika alio kupa Mwenyezi...
  16. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu katika Imani. Tukumbuke kuwa Allah ametuahidi.

    Mwaka unaishia na mwingine unaanza. Nawakumbusha tu kuwa tuna ahadi ya milele Allah ametuahidi. Kwahiyo Tujitahidi kufanya mema twende Peponi. Quran 45 : 51 -55 "Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani. Katika Bustani (Peponi) na chemchem. Watavaa nguo za hariri nyembamba na nzito...
  17. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Mussa, Daudi, Yesu na Wayahudi wengine wengi wa kwenye Biblia walikuwa Waislamu!

    Ad-Darr” (ٱلضَّارّ) ni moja ya majina 99 ya Allah (Asmaul Husna). 🔹 Maana yake: “Yule Mwenye Kudhuru” au “Mleta Madhara.”
  18. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ubayd Allah aliacha Uislamu na kuwa Mkristo. Alipokufa tu Muhamad akaenda mwoa mke wa Marehem

    Ubayd Allāh ibn Jahsh (عبيد الله بن جحش), ambaye alikuwa binamu wa Mtume Muhammad ﷺ. Nitasimulia kwa ufupi historia yake halisi kama inavyopatikana katika vyanzo vya mapema vya Kiislamu Jina kamili: ʿUbayd Allāh ibn Jahsh ibn Riʾāb al-Asadī Alikuwa ndugu yake Zaynab bint Jahsh, ambaye baadaye...
  19. Tochuku

    JamiiForums Tanzania LAANA ya wanasimba kwa timu mbovu ya Berkane hatimaye yatimia rasmi leo, ashukuriwe Allah

    Wanasimba wenzangu kama mnavyokumbuka tulivyofanyiwa figisu na uonevu mkubwa na timu hii mbovu ya Berkane na hata kiongozi wao sababu ana cheo kikubwa huko CAF tukanyimwa kucheza mechi yetu ya fainali kombe la shirikisho katika uwanja wetu wa nyumbani Mkapa, hio haitoshi wakahakikisha wanamhonga...
  20. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwanini miungu ya kigeni allah na yehova inapenda kuabudiwa hata isipofanya lolote au kutatua tatizo au ni utumwa wale waliozileta kutunyonya?

    Wangapi wameomba Mungu wasipate kitu? Wangapi hupatwa na woga wanapoambiwa hasira na visasi vya Mungu/ Wangapi wameibiwa hata kuharibiwa maisha kwa jina la Mungu?> Wangapi wana wasi wasi hadi kuhoji kama mimi? Wangapi wanaogopa kuhoji? Maswali ni mengi kuliko majibu. Kichwa cha habari...
Back
Top Bottom