Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Hizi picha za mchongo zipo nyingi.

Ni za kutengenezwa na wafia dini wasio na hoja wanaotegemea kuteka emotions za watu wajinga.

Ona hizi nyingine.

Screenshot_20250731_050913_Facebook.jpg


Screenshot_20250731_050803_Facebook.jpg
 
IMG_20250728_195433_245.jpg

Nimempiga picha kutokana na muonekano wa mabawa yake kama MAJANI MAKAVU Picha hii nimepiga mwenyewe maana sikuizi kuna AKILI ZIMWI zingatia usiamini 💯% kila unachokiona mtandaoni.
 
Mimi nadhani maajabu ya huyo Allah ni kuumba kiumbe kitamu kuliko vyote hapa duniani na kisha kuwakataza watu wasikile. Ni uchoyo uliopitiliza! 😂😂😂😂

IMG-20250319-WA0032.jpg
 
Sasa kuna maajabu gani hapo kujenga kakipande Ka lami ambalo hata mmbongo anaweza kutengeneza tena kenye muomekano mzuri kuliko hapo 😂 😂 😂 😂 😂
Nimemuuliza maajabu ni nini?

Kashindwa kujibu.
 
Waislamu jitahidini kwenda shule ,

Mtaepuka aibu ndogo ndogo kama hizi

Ndio maana mnakuwa wagumu sana mkiambiwa uongo wa dini yenu
 
Mimi nikishindwa thibitisha , wewe unaweza sema hapo ni wapi? 😁


adriz ndo maana nilikwambia ile vita huwezi toboa. Ulimwengu umeshajishape hivyo
Hahahahah!! kivipi sijstoboa
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom