Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Maajabu ya Allah yanavyojionyesha hadharani

Hiyo ni Nje ya mada.
Si nje ya mada kwa sababu nimeuliza swali la Socratic Method na inaonekana wewe huelewi Socratic Method ni nini.

Una assume mtu anayeuliza swali anauliza kwa sababu hajui jibu.

Huna uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo.

Huna uwezo wa kufikiri kujua kwamba mtu anaweza kuuliza swali kwa nia ya kujua unavyofikiri wewe.
 
Suala si kwamba mimi sijui.

Suala ni kwamba wewe inaonekana hujui The Socratic Method.

Unajua The Socratic Method ni nini?
Ngoja nisaidie ili ajue namna ya kufanya conversation next time,

Socratic method ni aina ya discussion inayojikita kwenye mfumo wa kuuliza na kujibu maswali ili kuongeza uelewa kwenye jambo fulani na inahusisha fikra huru
 
Basi huna maana yoyote, uislamu haujawahi kukataza kutoa elimu, hapo umeenda kinyume na mafundisho ya mtume s.a.w, ikiwa unaijua hata herufi 1 tu ya quran basi fundisha hiyo hiyo..

We ndio utuletee uswahili wako hapa sijui asiejua maana haambiwi maana!!

Nyinyi ndio malmafamya waislam tudharaulike.
Wewe labda una matatizo ya macho au maana picha inajieleza na pia nkmeweka maelezo ya kutosha.
 
Si nje ya mada kwa sababu nimeuliza swali la Socratic Method na inaonekana wewe huelewi Socratic Method ni nini.

Una assume mtu anayeuliza swali anauliza kwa sababu hajui jibu.

Huna uwezo wa kufikiri zaidi ya hapo.

Huna uwezo wa kufikiri kujua kwamba mtu anaweza kuuliza swali kwa nia ya kujua unavyofikiri wewe.
Mzee acha blah blah nyingi, nimeweka picha, inajieleza wazi, nikaweka na maelezo kukusaidia
Kama una matatizo ya macho rudi tena ufungue Uzi na utazame hiyo picha kwa makini
 
Mzee acha blah blah nyingi, nimeweka picha, inajieleza wazi, nikaweka na maelezo kukusaidia
Kama una matatizo ya macho rudi tena ufungue Uzi na utazame hiyo picha kwa makini
Wewe ndiye unaleta blah blah.

Unasema haya ni maajabu, nakuuliza maajabu ni nini, umeshindwa hata kuya define.

Sasa huoni kusema haya ni maajabu bila hata ya kuweza ku define maajabu ni nini ni blah blah tu?

Mtu akiamua kupanga mawe yatoe taswira fulani utasema hayo ni maajabu?

Jamaica kuna sehemu mwamba umekaa kama taswira ya uke, na maji ya mto yanatiririka.

Utasema hayo ni maajabu?
 
Bora umeuliza mkuu.

Wabongo wengi hata ukiwawekea picha za AI unawachota akili.
Maana sikuhizi sio kila picha na video ni ya kuaminika.

Lakini hata kama ni uhalisia hiyo ni man made.

Siyo maajabu.
 
Wewe ndiye unaleta blah blah.

Unasema haya ni maajabu, nakuuliza maajabu ni nini, umeshindwa hata kuya define.

Sasa huoni kusema haya ni maajabu bila hata ya kuweza ku define maajabu ni nini ni blah blah tu?

Mtu akiamua kupanga mawe yatoe taswira fulani utasema hayo ni maajabu?

Jamaica kuna sehemu mwamba umekaa kama taswira ya uke, na maji ya mto yanatiririka.

Utasema hayo ni maajabu?
Halo ni nini kimepangwa?
 
Maana sikuhizi sio kila picha na video ni ya kuaminika.
Hata ikiwa kweli hiyo sehemu ipo.

Cha ajabu ni kipi hapo?

Ndiyo maana nikauliza, maajabu ni nini?

Mpaka sasa sijajibiwa.
 
Halo ni nini kimepangwa?
Nimekuuliza hivii, maajabu ni nini?

Hujajibu.

Hapo kuna kitu gani ambacho hakiwezi kupangwa na watu na kutokea kwake, kama hiyo picha si ya kutengenezwa na watu tu, ni lazima kuwe kwa maajabu?
 
Nimekuuliza hivii, maajabu ni nini?

Hujajibu.

Hapo kuna kitu gani ambacho hakiwezi kupangwa na watu na kutokea kwake, kama hiyo picha si ya kutengenezwa na watu tu, ni lazima kuwe kwa maajabu?
Hujui maana ya neno "ajabu" so utafute kamusi
Ndio maana nikasema wewe kwa uelewa wako upo mbali sana hata nikuelewesha nitajipa kazi sana. Tafuta Uzi wa size yako
 
Hata ikiwa kweli hiyo sehemu ipo.

Cha ajabu ni kipi hapo?

Ndiyo maana nikauliza, maajabu ni nini?

Mpaka sasa sijajibiwa.
Sahihi, Maana hiyo road ni man made.
Hilo ajabu liko wapi?

Kwahiyo namimi nikiunda picha kwa mfumo huo nayo itakua ni Maajabu?

Mi ninaona kama huu uzi ndio maajabu yenyewe yaani unatushangaza kupitia upeo wa mtoa mada.
 
Picha ya mchongo hyo, lami sawa ila hapo kwenye kichwa na mikono ni vya kupachika tu.
Pia mwonekano wa kichwa kimefanya milima kule mbali isionekane, maana yake kuna mada imepachikwa hapo.

Mtoa mada ukibisha njoo na fact, kutetea hiyo picha
 
Hujui maana ya neno "ajabu" so utafute kamusi
Ndio maana nikasema wewe kwa uelewa wako upo mbali sana hata nikuelewesha nitajipa kazi sana. Tafuta Uzi wa size yako
Hujui Socratic Method.

Kuuliza swali si lazima maana yake sijui jibu, inawezekana nikauliza kwa kutaka kujua unavyofikiri wewe. Huelewi wapi?

Na jibu la kuniambia niangalie kamusi ni logical fallacy. Inaitwa dictionary logical fallacy.

Ukinionesha jiwe lililosimama angani bila kuwa supported na kitu, ukasema haya ni maajabu, ninaweza kukusikiliza na kusema hapa labda kuna maajabu.

Nitachunguza kuangalia kama kuna ujanja umetumika, kama jiwe hilo lina kamba isiyoonekana, kama kuna some drone like system inali support, lakini kimsingi nitakubali kuwa jiwe linalosimama hewani bila kuwa supported na chochote inawezekana kuna maajabu hapo. Kwa maana ya kwamba kuna a natural law, gravity, inaoneoana kuwa violated.

Sasa, katika picha hii, kuna natural law gani imekuwa violated?
 
Back
Top Bottom