Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
huko mkoani lindi kuku jike limegeuka kuwa jogoo licha ya hapo awali kubeba mimba mara mbili..sasa haya majabu duuh ndiyo maana yule shoga wa uk anataka tutambue haki zake pengine anajua iko siku kiongozi wa ngazi za juu kabisa hapa bongo atageuka kuwa jike..