Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,626
Siku ya Ini Duniani huadhimishwa tarehe 28 Julai ya kila mwaka, leko kuu ikiwa ni kuelimisha na kuikumbusha jamii katika athari za ugonjwa huu, jinsi unavyoambukizwa na namna ya kujikinga.
Takwimu za Shirika la Afya Duniani kupitia taarifa ya Homa ya Ini yam waka 2021 zinaonesha kuwa, mwaka 2019, watu milioni 296 duniani, walikuwa wanaishi na homa sugu ya Ini aina ya B ambapo Zaidi ya nusu (66%) ya maambukizi hayo yalikuwa yanatoka katika Bara la Afrika.
Je, una ufahamu wowote juu ya ugonjwa huu na jinsi ya kujikinga?
Takwimu za Shirika la Afya Duniani kupitia taarifa ya Homa ya Ini yam waka 2021 zinaonesha kuwa, mwaka 2019, watu milioni 296 duniani, walikuwa wanaishi na homa sugu ya Ini aina ya B ambapo Zaidi ya nusu (66%) ya maambukizi hayo yalikuwa yanatoka katika Bara la Afrika.
Je, una ufahamu wowote juu ya ugonjwa huu na jinsi ya kujikinga?