Maadhimisho miaka miwili ya SSH ni wazi CCM na Serikali wanalazimisha shibe ya supu ya mawe

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
EWURA ni jipu la Taifa, ikulu iliangalie hili kwa jicho la kuwajali wananchi

TANESCO inatumika kisiasa, na hili limefanikisha wananchi kukosa imani na serikali.

Polisi imeshapoteza uadilifu wake. Sheria na muundo wake vibadilishwe kwani ushshidi ni mwingi wa maovu yanayofanywa na polisi kuliko mema

Huko TAMISEMI kuna mengi, wananchi wanataka kuona CAG anajumuisha kwenye ukaguzi wake zile 20% funds zinazorudishwa kwenye jamii kuchochea maendeleo ambazo ni tofauti na 10% za mikopo

JWTZ wapewe task ya ubunifu wa kisayansi ili kuendana na kasi ya ukuaji wa ulinzi na teknolojia

TISS ideal na usalama wa ndani. Iundwe taasisi ya ujasusi wa nje itakayoshughulika na matishio yote kutoka nje na kusaidia wawekezaji wa ndani wanaowekeza nje ya nchi

Rais asiwe 50% ya Bunge. Bunge lisimame kama mhimili kama katiba inavyoamrisha

TURUDI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA SSH
Hakuna shaka kwamba hizi sherehe zimeandaliwa mahususi kujaribu kutuhadaa wananchi kuwa anayoyafanya Rais hayakuwa majukumu yake bali ametufanyia fadhila kutekeleza wajibu wake wa kuleta maendeleo nchini.

Maadhimisho haya yanadhihirisha kuwa, yeye na mtangulizi wake hawakuwa page moja kwani alikacha kwenye kwenye kumbukumbu ya miaka 2 tangu afariki na serikali ikaweka tukio la kufunika kumbukizi ya kifo cha JPM bali sasa serikali nzima kwa uzito wake inaenda kushiriki kumbukumbu ya kuapishwa Rais mpya. Ni mara ya kwanza kuona kila mwaka kunakuwa na sherehe ya kumbukumbu ya kuapishwa rais mpya.

Kwa wanagenzi wa siasa nchini, hii shughuli ni wazi imeandaliwa kwa minajili ya wajanja kupiga hela za ummana pia kuendeleza project ya kufuta kumbukumbu za JPM.


Mama yangu. Samia nakuombea jwa Mungu akupe macho ya kuona namna wanavyokuangusha hao wasaidizi wako unaowatumainia.

LISEMWALO HALIPO, KAMA LIPO LAJA
 
EWURA ni jipu la Taifa, ikulu iliangalie hili kwa jicho la kuwajali wananchi

TANESCO inatumika kisiasa, na hili limefanikisha wananchi kukosa imani na serikali.

Polisi imeshapoteza uadilifu wake. Sheria na muundo wake vibadilishwe kwani ushshidi ni mwingi wa maovu yanayofanywa na polisi kuliko mema

Huko TAMISEMI kuna mengi, wananchi wanataka kuona CAG anajumuisha kwenye ukaguzi wake zile 20% funds zinazorudishwa kwenye jamii kuchochea maendeleo ambazo ni tofauti na 10% za mikopo

JWTZ wapewe task ya ubunifu wa kisayansi ili kuendana na kasi ya ukuaji wa ulinzi na teknolojia

TISS ideal na usalama wa ndani. Iundwe taasisi ya ujasusi wa nje itakayoshughulika na matishio yote kutoka nje na kusaidia wawekezaji wa ndani wanaowekeza nje ya nchi

Rais asiwe 50% ya Bunge. Bunge lisimame kama mhimili kama katiba inavyoamrisha

TURUDI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA SSH
Hakuna shaka kwamba hizi sherehe zimeandaliwa mahususi kujaribu kutuhadaa wananchi kuwa anayoyafanya Rais hayakuwa majukumu yake bali ametufanyia fadhila kutekeleza wajibu wake wa kuleta maendeleo nchini.

Maadhimisho haya yanadhihirisha kuwa, yeye na mtangulizi wake hawakuwa page moja kwani alikacha kwenye kwenye kumbukumbu ya miaka 2 tangu afariki na serikali ikaweka tukio la kufunika kumbukizi ya kifo cha JPM bali sasa serikali nzima kwa uzito wake inaenda kushiriki kumbukumbu ya kuapishwa Rais mpya. Ni mara ya kwanza kuona kila mwaka kunakuwa na sherehe ya kumbukumbu ya kuapishwa rais mpya.

Kwa wanagenzi wa siasa nchini, hii shughuli ni wazi imeandaliwa kwa minajili ya wajanja kupiga hela za ummana pia kuendeleza project ya kufuta kumbukumbu za JPM.


Mama yangu. Samia nakuombea jwa Mungu akupe macho ya kuona namna wanavyokuangusha hao wasaidizi wako unaowatumainia.

LISEMWALO HALIPO, KAMA LIPO LAJA
Tuna safari ndefu sana kama Taifa. Nipo hapa umeme umekatika afu kuna wajinga huko wanaimba mapambio.

Juzi nimepita Magufuli stand nimekutana na bango kuubwaa upande wa kutokea la kumsifu na kumuabudu.

Siasa ZETU zimejaa njaa na ubinafsi mwingi badala ya kufikiria maslahi mapana ya Taifa.
 
Nampongeza sana mh raisi kwa uongozi wake. Lakini hizi sherehe huwa ni project za watu kupata fedha watu kama kina steve nyerere, wale ma mc kama yule mzee wa dodoma mc mzuri na wengineo. Ukisikia bajeti ya sherehe hizi ni watu wanakinga mapesa. Ni upigaji aina fulani japo una nia njema.
 
Nampongeza sana mh raisi kwa uongozi wake. Lakini hizi sherehe huwa ni project za watu kupata fedha watu kama kina steve nyerere, wale ma mc kama yule mzee wa dodoma mc mzuri na wengineo. Ukisikia bajeti ya sherehe hizi ni watu wanakinga mapesa. Ni upigaji aina fulani japo una nia njema.
Yeye mwenyewe anapenda misifa, hizi ni kampeni za rasharasha kuelekea 20253, hasa dhidi ya wana-Ccm wenzake.
 
Wewe ulieandika article hii. Ni mchochezi wa wananchi na serilikali yao. Ingekuwa enzi za Chuma ungepotezwa. Shukuru mama anaongoza nchi kidemocrasia sana.
 
Kilo ya maharagwe Tsh 4000/=
Kilo ya unga wa sembe Tsh 2000/= net.

Hao wanaokusifu leo, kesho watakucheka.
Kila mbegu unayoipanda kwa Taifa hili utaivuna.
 
EWURA ni jipu la Taifa, ikulu iliangalie hili kwa jicho la kuwajali wananchi

TANESCO inatumika kisiasa, na hili limefanikisha wananchi kukosa imani na serikali.

Polisi imeshapoteza uadilifu wake. Sheria na muundo wake vibadilishwe kwani ushshidi ni mwingi wa maovu yanayofanywa na polisi kuliko mema

Huko TAMISEMI kuna mengi, wananchi wanataka kuona CAG anajumuisha kwenye ukaguzi wake zile 20% funds zinazorudishwa kwenye jamii kuchochea maendeleo ambazo ni tofauti na 10% za mikopo

JWTZ wapewe task ya ubunifu wa kisayansi ili kuendana na kasi ya ukuaji wa ulinzi na teknolojia

TISS ideal na usalama wa ndani. Iundwe taasisi ya ujasusi wa nje itakayoshughulika na matishio yote kutoka nje na kusaidia wawekezaji wa ndani wanaowekeza nje ya nchi

Rais asiwe 50% ya Bunge. Bunge lisimame kama mhimili kama katiba inavyoamrisha

TURUDI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 2 YA SSH
Hakuna shaka kwamba hizi sherehe zimeandaliwa mahususi kujaribu kutuhadaa wananchi kuwa anayoyafanya Rais hayakuwa majukumu yake bali ametufanyia fadhila kutekeleza wajibu wake wa kuleta maendeleo nchini.

Maadhimisho haya yanadhihirisha kuwa, yeye na mtangulizi wake hawakuwa page moja kwani alikacha kwenye kwenye kumbukumbu ya miaka 2 tangu afariki na serikali ikaweka tukio la kufunika kumbukizi ya kifo cha JPM bali sasa serikali nzima kwa uzito wake inaenda kushiriki kumbukumbu ya kuapishwa Rais mpya. Ni mara ya kwanza kuona kila mwaka kunakuwa na sherehe ya kumbukumbu ya kuapishwa rais mpya.

Kwa wanagenzi wa siasa nchini, hii shughuli ni wazi imeandaliwa kwa minajili ya wajanja kupiga hela za ummana pia kuendeleza project ya kufuta kumbukumbu za JPM.


Mama yangu. Samia nakuombea jwa Mungu akupe macho ya kuona namna wanavyokuangusha hao wasaidizi wako unaowatumainia.

LISEMWALO HALIPO, KAMA LIPO LAJA

Leo hata huku umeme upo au ni sherehe
 
Bonanza zimekuwa nyingi huku tunaambiwa serikali haina fungu la kutoshea bajeti
 
Back
Top Bottom