Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,219
- 4,087
hahaah...lol,,nilifikiri utakuwa ulimbana wewe! kumbe hukuwa naye!Mkuu unataka kuniambia alikuwa amebanwa na haja kubwa au ndogo?
hahaah...lol,,nilifikiri utakuwa ulimbana wewe! kumbe hukuwa naye!Mkuu unataka kuniambia alikuwa amebanwa na haja kubwa au ndogo?
Lol, chumbani pia udi haukosekani, maji ya kuoga yanatiwa iliki na vitunguu swaumu, akimaliza kuoga anapakwa mafuta ya karafuu, khaa Mr. Rocky tukicheza tutampoteza kijana asee, ujue toka jana analishwa wali wa nazi tuu!Huko hatatoka kabisa
kwa style hiyo kila siku nguo zarudishwa kwenye maji
lol...kumbe unapenda kukaa mkiani?? basi ngoja nijisogeze mbali kabisaaa...lakini naondoka na dena! wewe ngoja nikuache hapo mkiani!Baada yangu asikae Rejao maana nina wasi wasi anaweza chakachua kila kitu
Asante dear
Naona kanikumbuka...kaniweka on top kabisasaa!!! tukiondoa tu hizo number mi naonekana choice yake ya kwanza!!Nafurahi kama uko poa. Dena nna hakika hajakuacha, amekusahau kwa bahati mbaya, wiki end nilibanwa kidogo mpendwa... Nilikuwa natembelea ndugu, jamaa na marafiki..
lol...kumbe unapenda kukaa mkiani?? basi ngoja nijisogeze mbali kabisaaa...lakini naondoka na dena! wewe ngoja nikuache hapo mkiani!
yeah...nimejiona,,,,thanx sana mamito! nitakununulia pipi baadaye!Ha ha ha Rejao ndo nishakutaja hivyooooo
Katika hiyo list yaani wewe, fellow tablet na sweetlady hamuwezi kukosekana. Usikastuie ka Dena Amsi maana kataanza kutamba kuwemo kwenye lsiti ya orijino Babu.
Hahaha.Naona kanikumbuka...kaniweka on top kabisasaa!!! tukiondoa tu hizo number mi naonekana choice yake ya kwanza!!
Thanx dena!
Mie mwenyewe nishamripoti coz amefanya name calling wakati sheria za jf zinakataza. Asubirie tu ban yake.We Mzee hebu futa hiyo kauli hapo kwenye red kabla sijaripoti abuse....................
uvumilivu kweli unatakiwa kwa kila jambo...ningekuwa mvumilivu hata siku ile tusingefika kuleee!Hahaha.
Sasa si umeona faida ya kuwa mvumilivu eeh?
Mie mwenyewe nishamripoti coz amefanya name calling wakati sheria za jf zinakataza. Asubirie tu ban yake.
hee...PAW siku hizi hana huruma, anatoa ban za maisha! Akila ban mbona wajukuu watalia sana? kwa manufaa ya wengi naona nimuombee msamaha kwa PAW!Leo lazima alambe BAN ya nguvu huyu mzee maana na serengeti za baridi jana zimempeleka vibaya sana bado zipo kichwani
Dena amsi nae ana mambo ya kizamani kweli....usimweke kwenye list mpaka akome...lolKatika hiyo list yaani wewe, fellow tablet na sweetlady hamuwezi kukosekana. Usikastuie ka Dena Amsi maana kataanza kutamba kuwemo kwenye lsiti ya orijino Babu.
Poa poa SL
Mzima wewe
Umepotea sana
Nimekumiss (kimya kimya maana TF hajaamka )
Mie good mpendwa... Nafurahi kukuona hapa..
TF hawezi amka sahizi manake alipokuwepo jana mimi ndo napajua..
Afadhali nijiachie hapa
Maana jamaa king'ang'anizi mbaya yule
Umeonae. Leo amelala kwa binti wa kitanga nguo zimelowekwa kwenye maji...hana ubavu wa kuja hapa.
Huko hatatoka kabisa
kwa style hiyo kila siku nguo zarudishwa kwenye maji
Dah............Lol, chumbani pia udi haukosekani, maji ya kuoga yanatiwa iliki na vitunguu swaumu, akimaliza kuoga anapakwa mafuta ya karafuu, khaa Mr. Rocky tukicheza tutampoteza kijana asee, ujue toka jana analishwa wali wa nazi tuu!
Asipotokea leo mpelekee ngua bana!
Dena amsi nae ana mambo ya kizamani kweli....usimweke kwenye list mpaka akome...lol
hatimae dada wa tanga kakutoadah............
Hahaha! Umeonae? Ila kule pamenifanya nijifunze mambo mengi sana, nzuri zaidi nilijiapiza siku nikitoka lazima Rejao awe my best friend wa jf manake bila yeye pia nisingeweza kujifunza hayo niliyo yajifunza...uvumilivu kweli unatakiwa kwa kila jambo...ningekuwa mvumilivu hata siku ile tusingefika kuleee!
Khaaa! Fesibuku alikwambiaje kwani? Zali linaniangukia bila kujua.
Nimekupenda tana kwa ghafla
Mwaaaaaaaaah!