Ma-super star wa jf...!!

Ma-super star wa jf...!!

Katufute mtori na chapati hiyo nanihii itoke maana dah mmmhhhh
Ukimwona sweetlady mwambie eti nampenda sana lakini domo langu zege nashindwa kumtongoza. Soma fasta hii posti nna mpango wa kuidelete kabla hajaisoma.
 
Rejao mie si nshakutaja? Unahangaika nini sasa?

Uko poa weye?
Niko poa sana,,,,,nilikumiss sana over the w.end! ulikuwa umebanwa sana?
Namshangaa Dena ananiacha vip wakati wewe uliniona toka mbaliiii!
 
Poa poa SL
Mzima wewe
Umepotea sana
Nimekumiss (kimya kimya maana TF hajaamka )
Mie good mpendwa... Nafurahi kukuona hapa..


TF hawezi amka sahizi manake alipokuwepo jana mimi ndo napajua..
 
Niko poa sana,,,,,nilikumiss sana over the w.end! ulikuwa umebanwa sana?
Namshangaa Dena ananiacha vip wakati wewe uliniona toka mbaliiii!
Mkuu unataka kuniambia alikuwa amebanwa na haja kubwa au ndogo?
 
Babu taratibu
tunashangaa na maneno yako makali asubuhi asubuhi wakati unatakiw autoe busara za kuianza siku
Mkiona hivyo mjue bibi yenu alininyima chakula cha usiku nikalazimika kumfanyia ubakaji.
 
Naendelea
32. Rejao
33. Feis Buku
34. Lily Flower
35. Klorokwini
36. Uporoto01
37. Igwe
39. BAK
40. First Lady
41. First Lady1
42. Lizzy
43. Katavi
44. MTM
45. JS
46. Bht
47. Dark City
48.Dreamliner
49. Kaka Kiiza
50. Askofu
51. Smile
52. Kaunga
53. Bishanga
54. Inkoskaz
55. Rose1980
56. Gaga
57. ..........................

Dah nitamalizia siku nyingine
 
Niko poa sana,,,,,nilikumiss sana over the w.end! ulikuwa umebanwa sana?
Namshangaa Dena ananiacha vip wakati wewe uliniona toka mbaliiii!
Nafurahi kama uko poa. Dena nna hakika hajakuacha, amekusahau kwa bahati mbaya, wiki end nilibanwa kidogo mpendwa... Nilikuwa natembelea ndugu, jamaa na marafiki..
 
Back
Top Bottom