Dah!....hahaha :lol: mzizimkavu, inabidi unipe mzizi basi ile hiyo avatar iwe sawa!!mimi ninamsaidia Mkuu Sizinga Mkuu Rejao kama ulivyo kuwa kwenye Picha yako ya Avatar na ndio hivyo hivyo ulivyo ndani ya hi Jamii forums ikiwa kama nitakuudhi unisamehe........
Sikupendi tena.Naleta list yangu mpya:
MziziMkavu, Sweetlady, Cantalisia, Lizzy, Sizinga, Mtambuzi,Afrodenzi,FreemaAgyeman, Gaijin,
Theboss,Memo, The finest, Mwita25, DenaAmsi,Katabi, King'asti, Kongosho, Mwanamayum Marytina, Kigandu, BAK, Ndyoko,
Nzowa Godat, Tigger, Siumti.
nawasilisha.
AshaDii (always my sweet darling)
Sweetlady
Bebii
MJ1
Smile
Smiles
Cantalisia
Gaijin (mwalimu wangu)
FL1
Gaga
Chauro
Husninyo (.....)
FeisBuk
Nyamayao
Preta
Dena
Afro Denzi (....)
....................................................................................................
ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,
(hapa list inaendelea)
Yaani umesahaulika hivi hivi...hata mimi siamini!Sikupendi tena.
Naleta list yangu mpya:
MziziMkavu, Sweetlady, Cantalisia, Lizzy, Sizinga, Mtambuzi,Afrodenzi,FreemaAgyeman, Gaijin,
Theboss,Memo, The finest, Mwita25, DenaAmsi,Katabi, King'asti, Kongosho, Mwanamayum Marytina, Kigandu, BAK, Ndyoko,
Nzowa Godat, Tigger, Siumti.
nawasilisha.
niko nyuma yako! miatusker bariiidi, mayasa, The Boss, Bundajo, fais buku, Dena Amsi, klorokwin, king'amuzi.mia
niko mbele yako kaizer!!AshaDii (always my sweet darling)SweetladyBebiiMJ1SmileSmilesCantalisiaGaijin (mwalimu wangu)FL1GagaChauroHusninyo (.....)FeisBukNyamayaoPretaDenaAfro Denzi (....)....................................................................................................ODM., Asprin, Klorokwin, TF, The Boss, Mbu, Uporoto, Fignig,Sizinga, VinDiesel, SMU, SteveDii, Chimungururu, funzadume, MR,Mr. Rocky,(hapa list inaendelea)
Yaani umesahaulika hivi hivi...hata mimi siamini!
Utawezaje kusahau lipenda maujiko kama mimi? Yaani kisisasa unaweza nifananisha na Lyatonga wa Kiraracha.Yaani umesahaulika hivi hivi...hata mimi siamini!
namsaidia tu kuomboleza..Ha ha ha mpe moyo atashinda kasahaulika tena jina lake linaanza na A dah.........maana ni rahisi kukmbuka
Utawezaje kusahau lipenda maujiko kama mimi? Yaani kisisasa unaweza nifananisha na Lyatonga wa Kiraracha.
Sikupendi tena.
Aisee hebu niazime bunduki hiyo, kuna mtu kaniuzi hapa..........Kama mzee wa kiraracha alkiweza kuwa mbunge tena! Nothing is impossible under ccm, niamini tu utaibuka tena! Kha!
Wanaanza kukumbia mmoja baada ya mweningine...labda ur fellow tablet Kloro ndio anafanya mambo!Utawezaje kusahau lipenda maujiko kama mimi? Yaani kisisasa unaweza nifananisha na Lyatonga wa Kiraracha.
namsaidia tu kuomboleza..
naona dena na wewe unasahaulika sana! vp kwenye lile jukwaa lako na Maria Roza mbona huonekani tena? MR naye yuko wapi siku hizi?
Mke mwenza nna hasira zako, unitafute kabla hazijaisha...Kama mzee wa kiraracha alkiweza kuwa mbunge tena! Nothing is impossible under ccm, niamini tu utaibuka tena! Kha!
Khaaa! Fesibuku alikwambiaje kwani? Zali linaniangukia bila kujua.Sorry Mkuu, rudisha tu mapenzi kwangu kwani mimi ni
mama mkwe wako kwa feisbuku.