M4C pamoja daima Tabora yazizima

M4C pamoja daima Tabora yazizima

hapo pouwa kabisa,naona hata magamba hawasogei hapa,ku comment
 
thankx kwa update mkuu ccm mlie na mlie sana kwa maana nchi imebadilika sana
 
Nahisi uchaguzi wa mwaka 2015 matokeo yatakuwa kama ifuatavyo:

CDM 69%; CCM 21%; CUF 6%; NCCR 3% ......Vyama vilivyobaki 0.000002%

Ngoja tutume haya matokeo REDET kwa sababu hii NGO ina tabia ya kupanga matokeo ya urais Tanzania. Stay tuned.

cc: Benson Bana (PhD)
 
Mama hizo ni tabia za watu wa TISS na NEC yao. Watanzania tukiamua, wao wanapindisha kura na kuzipeleka wanakojua wao.

dawa yao ilishapatikana, lakin kwanza tutawakata m.ap.umbu maana hayo ndo yanawafanya wavuruge uchaguzi! wajaribu waone
 
CHADEMA mbwembwe nyingi! Tukiitisha Uchaguzi mkuu wanaangukia Pua, Halafu Dr.Slaa anapita kwenye vyombo vya habari akilia lia kuwa ameibiwa kura!
 
Machozi yananitoka na uzee huu! Toka mwka 1977, nlikuwa naomba CCM ife, sasa naona inakufa kifo cha mende! Aksante Mungu, nipe uhai nizidi kushuhudia kufukiwa kwa CCM kaburini kama KANU!
 
hujui saisa wewe. muulize odinga yaliyompata. waulize akina Prof Lipumba, mrema na slaa mwaka 2010. kwa taarifa yako hao wamekuja kushangaa chopa. labda huwajui pia watanzania.

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Hivi ni kweli majina huumba ? Naanza kuwaheshimu wahenga .
 
Ujio wa viongozi wa chadema kuja mkoani Tabora kumesababisha wananchi wengi kuacha shughuli zao kwenda kuwasikiliza viongozi wa chadema wakiongozwa na Makamu Mwenyeki Zanzibar Nd, Said mohamed na John Mnyika, uwanja mzima wa uyui umejaa watu na baada ya Mkutano yamefanyika maandamano makubwa ya kuwasindikiza viongozi hao hoteli waliyofikia.

kwa jinsi ninavyowafahamu wananchi wa Tabora hapo panaitajika nguvu ya ziada maana bado wana ukungu wa mawazo
 
Back
Top Bottom