M4C pamoja daima Tabora yazizima

M4C pamoja daima Tabora yazizima

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! Hivi ni kweli majina huumba ? Naanza kuwaheshimu wahenga .
RBC jiliwaze tu. siipendi ccm, ila mimi nipo hapa JF utajaniambia hata kama sio wazi basi hata kimoyomoyo kuwa usicheze na hao wezi wa ccm. hata wewe mwenyewe unaweza ibiwa. hiyo 9, lakini 10 ni hao wananchi wengi wao hawana vichwa bali wana vitunguu tu juu ya shingo zao. usijipe matumaini sana utajajinyonga bure.
kwa heri mi ngoja nikapate tusker ya baridiiiiiiii!
 
Baadae utasikia Mbowe anasema amekikopesha Chama!Ulaghai mtupu
 
litakuwa ni jambo jema bila shaka.

ni kweli pia mengi yalichangia
ss subiri daftari la wapiga kura kwanza liboreshwe, na hili wimbi la vijana wahitim kuanzia fm 4 Up 2 university ambao hawana ajira El anawaita bomu linalosubiri kulipuka, uone historia itakavyoandikwa
 
Ukiangalia Picha utaona Watu wanaiangalia Chopa au Mnyika!?
mkuu mbona unajifanya mgumu kuelewa kwa kitu ambacho kiko wazi. au hujui ushamba wa watanzania. hao wengi wao wamekuja kushangaa chopa tu. you will see. na bado hapo ccm hawajaiba.
 
support ya watanzania tu ndio itakayowaweka chadema madarakani! wtanzania mnaweza kufanya mabadiliko amkeni!
 
Zitto kajificha chini ya meza kwisha hbr yake
images
 
Nahisi uchaguzi wa mwaka 2015 matokeo yatakuwa kama ifuatavyo:

CDM 69%; CCM 21%; CUF 6%; NCCR 3% ......Vyama vilivyobaki 0.000002%

Mkuu Haji Salum kile cha bwana Dovutwa unakipa asilimia ngapi?
 
Habari za kuaminika ni kuwa ametuma team ya watu wazito akiwemo mama yake na baadhi ya wasomi wenye hadhi ya uprofessa, kwa Kamanda Mbowe ili ku-reconcile.

Haitakuwa vizuri hata kidogo kuelewana na Zitto. He cannot be trusted, period. Wengi wetu tulishauri humu jamvini miaka iliyopita kwamba Zitto tuko naye lakini si wa kwetu. Kama anatafuta upatanisho si kwa sababu ya kuipenda CDM, ni kwa sababu ya kuogopa kupoteza ubunge tu.
 
Back
Top Bottom