M4C pamoja daima Tabora yazizima

M4C pamoja daima Tabora yazizima

Habari za kuaminika ni kuwa ametuma team ya watu wazito akiwemo mama yake na baadhi ya wasomi wenye hadhi ya uprofessa, kwa Kamanda Mbowe ili ku-reconcile.

hakuna namna yoyote ya kuhangaika na wasaliti , GAME OVER !
 
attachment.php

Makamanda nikiangalia hii picha machoz yananilengalenga lakin najizuia nisilie. Kama Mungu yupo upande wa CDM nani atakuwa kinyume na CDM? Hii ni taarifa kwa ma ccm mafisad kuwa tunda limeshaivia mtini kudondoka chini halina budi. pIPOOOOOOOOOOOOOOOZ, tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu, Pamoja Daima Makamanda!!
 
Habari za kuaminika ni kuwa ametuma team ya watu wazito akiwemo mama yake na baadhi ya wasomi wenye hadhi ya uprofessa, kwa Kamanda Mbowe ili ku-reconcile.

LABDA, nasema tena labda, apige magoti, miguu yote miwili chini, mbele ya umma wa wana-CDM, wakimkubalia apewe kitubio cha mda mrefu pamoja na milipizi yake, kamanda Slaa apewe kazi ya kuongoza hicho "kitubio", naamini KAMANDA sLAA ANAJUA nini cha kufanya ili kitubio kikamilike sawia, Pamoja Daima Makamanda!!
 
Nahisi uchaguzi wa mwaka 2015 matokeo yatakuwa kama ifuatavyo:

CDM 69%; CCM 21%; CUF 6%; NCCR 3% ......Vyama vilivyobaki 0.000002%

Mkuu jieshimu...
hizo 21% Ma CCM wazitolee wapi ?????
 
Makamanda nikiangalia hii picha machoz yananilengalenga lakin najizuia nisilie. Kama Mungu yupo upande wa CDM nani atakuwa kinyume na CDM? Hii ni taarifa kwa ma ccm mafisad kuwa tunda limeshaivia mtini kudondoka chini halina budi. pIPOOOOOOOOOOOOOOOZ, tulianza na Mungu tutamaliza na Mungu, Pamoja Daima Makamanda!!

Mkuu you are not serious.
 
Hii inaitwa Counter attack.
Wao walikuwa Busy ku exagarate ya Mbunge wao wa Korti aliyekula chao bila kutimiza Lengo.
Ma Kamanda wakawa kimya, wakajipanga na kuja na huu Mshangazo wa Hatari kwa ma Magamba.
Hapa ndo tu napoipendeaga CHADEMA, mikakati myema na Makini kwa wakati Muafaka Kabisa.
Nadhani Magambani lazima kutakuwa kumeitishwa kikao cha Dharura jujadili hii Dhoruba.

PEOPLESSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSSS
 
Hatariiiiiiiii.......Hii Operesheni M4C-Pamoja Daima ni balaaa.....CCM wamechanganyikiwa...
 
kazi bado kukusanya watu tu haitoshi kuna mbinu zaidi wajipange, isje kua chenga twawala afu wao ndo wanafunga
 
Tumaini Makene hivi unamdangaya nani lakini.

Anadanganya wakati nyomi imetapakaa uwanja mzima mpaka barabarani na maandamano toka uwanjani mpaka hotelini unachezea M4C pamoja daima.
 
Last edited by a moderator:
Haya mashambulizi yanatakiwa yaende hivi hivi mwaka mzima wote..........CDM tunatwanga kote kote....
 
Back
Top Bottom