Walisema eti zzk ndio CDM wako wapi?Yeye naye ni kama sisimizi tu chamani
Tena roho zinawaumA. I believe revolution is neer to come one year to timewaliodhani cdm inafanya mzaha bila shaka wameisoma namba .
Atatoa ya mama yako kipindi hichiMnyika sukuhizi hatoi namba za watu tena
Tukiangalia uhalisia wa mambo. CHADEMA 2015 haiwezi kuchukua nchi na swala la zito litawaangusha sana.
Walisema eti zzk ndio CDM wako wapi?Yeye naye ni kama sisimizi tu chamani
Kama hujui tabia za watanzania;
kamuulize augustino lyatonga mrema.
siasa raha wakati mwingine
Kama hujui tabia za watanzania;
kamuulize augustino lyatonga mrema.
hujui saisa wewe. muulize odinga yaliyompata. waulize akina Prof Lipumba, mrema na slaa mwaka 2010. kwa taarifa yako hao wamekuja kushangaa chopa. labda huwajui pia watanzania.Nahisi uchaguzi wa mwaka 2015 matokeo yatakuwa kama ifuatavyo:
CDM 69%; CCM 21%; CUF 6%; NCCR 3% ......Vyama vilivyobaki 0.000002%
View attachment 220120141303.jpg View attachment 220120141303.jpg