MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Last edited by a moderator:
wewe unahitaji ya nani??mnyika sukuhizi hatoi namba za watu tena
Kama hujui tabia za watanzania;
kamuulize augustino lyatonga mrema.
hujui saisa wewe. muulize odinga yaliyompata. waulize akina Prof Lipumba, mrema na slaa mwaka 2010. kwa taarifa yako hao wamekuja kushangaa chopa. labda huwajui pia watanzania.
Sana,nilikuwepo viwanja vya mkutano it was so fun.Na maandamano ya AMANI yalifanyika kwa umbali mrefu sn katikati ya mji. NILIIPENDA KWAKWELI.
Walisema eti zzk ndio CDM wako wapi?Yeye naye ni kama sisimizi tu chamani
Sisiemu walishinda kwa kura miaka ya nyuma sana, inasemekana tangu wakati wa Lyatonga hawajawahi kushinda kwa kura bali wanatumia 'mbinu za medani'.Kwahivi nilazima CHADEMA ichukue nchi,ccm masikini hawana watu,bila watu huwezi fanya jambo hata harusin msiban any where,hahahahaaaa mwanachama wa mahakama amenuuuuna!!
Habari za kuaminika ni kuwa ametuma team ya watu wazito akiwemo mama yake na baadhi ya wasomi wenye hadhi ya uprofessa, kwa Kamanda Mbowe ili ku-reconcile.
mwanachama wa mahakama hapo ananuuuuuuna!
hujui saisa wewe. muulize odinga yaliyompata. waulize akina Prof Lipumba, mrema na slaa mwaka 2010. kwa taarifa yako hao wamekuja kushangaa chopa. labda huwajui pia watanzania.