Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Wa Tz hata hawana imani na jeshi lao, kwani limegeuka jeshi la ccm badala ya kuwa jeshi la Wananchi wa Tz...
Kitendo cha kuwapiga raia kimenifanya nilichukie serios Jwtz...acha watekwe tu tutatafuta wengine wa kwenda kuwatoa kafara huko..
...wapigwe tu,wapigwe...