Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
Wakuu,
Baada ya kutajwa bila kuwekwa wazi/ kufahamika, mshiriki namba nne wa Waraka uliosababisha kuvuliwa uongozi kwa aliyekua naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe, aliyekua mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha Samson Mwigamba na aliyekua mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Dr. Kitila Mkumbo, hatimaye MM2 mwenyewe ameamua kujitokeza hadharani
Kwa taarifa zisizo rasmi ni kwamba MM2 ambaye kama ilivyosemwa ni mwenyeji sana wa makao makuu, atajitokeza kuzungumzia ukweli kumuhusu yeye kama yeye, msimamo wake na wa kikundi chake dhidi ya wale wanaojulikana kama Wahafidhina ndani ya chama na vilevile ataweka wazi mikakati yao pamoja na mbio za mikoani katika kile kinachojulikana kama demokrasia ya kweli ndani ya CHADEMA.
Hivyo basi, tutarajie kumuona na kumsikia mtu anayewekwa kwenye list ya Uhaini ndani ya CHADEMA.
Stay tuned!
Baada ya kutajwa bila kuwekwa wazi/ kufahamika, mshiriki namba nne wa Waraka uliosababisha kuvuliwa uongozi kwa aliyekua naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe, aliyekua mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha Samson Mwigamba na aliyekua mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Dr. Kitila Mkumbo, hatimaye MM2 mwenyewe ameamua kujitokeza hadharani
Kwa taarifa zisizo rasmi ni kwamba MM2 ambaye kama ilivyosemwa ni mwenyeji sana wa makao makuu, atajitokeza kuzungumzia ukweli kumuhusu yeye kama yeye, msimamo wake na wa kikundi chake dhidi ya wale wanaojulikana kama Wahafidhina ndani ya chama na vilevile ataweka wazi mikakati yao pamoja na mbio za mikoani katika kile kinachojulikana kama demokrasia ya kweli ndani ya CHADEMA.
Hivyo basi, tutarajie kumuona na kumsikia mtu anayewekwa kwenye list ya Uhaini ndani ya CHADEMA.
Stay tuned!