666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,710
- 4,044
MM2 ndo nani?
we ndo mrs. MM2, mwambie mumeo lazima wa mtimue.
MM2 ndo nani?
Watafukuzwa wote
peleka uwongo huko, m2 humjui, unaleta taarifa za kwenye pombe za kienyeji humu
sent from my blackberry 9780 using jamiiforums
where is M2
Musaliti ndio nini? Wanafiki wakubwa mnajifanya wapinga ufisadi na watetez wa Demokrasia halafu mnashindwa hata ku practice walau kwa Majaribio ngaz ya Chama, Mungu ni Mwema sana kuwanyima Mamlaka 2010, Tambueni Mungu aliewanyima Power 2010 ndio huyohuyo wa 2015 ataewanyima tena!
Je, PEPO lililowawezesha kukwapua 2010, litafanikisha tena 2015?
Acha tu mpwa, tumekaa tumejipanga si ndio akatokea Nyakarungu? Likatushukajee?
Ha haha hapicha ya nini sasa?? sio kila kitu kinahitaji picha
please show your mind not your behind