LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

Hhahahahahaha..uzushi mtupu..gazeti lenyewe linaitwa FAHAMU...nani analijua?Ingekuwa ni kweli HABARI LEO wangeindika hii habari mwaka mzima!
 
Nimepata mstikko kwa kiongozi kama lwakatare kusema kunawatu ndani ya chadema wanawasaliti inamaana viongozi wa chadema wanajua kiongozi huyu alichotarajia kufanya yani kumdhuru mhariri wa wmananchi,kwa kusema amesalitiwa na wapenda haki ndani ya chadema analalamika je polisi, usalama wa taifa mkowapi kwa kauli hii ya lwakatare amedai viongozi wakuu wa chadema wanajua mikakati yote isipokua wasaliti waliotoa siri ndo wanaiaribu chadema naamini polisi mtafanya kazi yenu kwani ushahidi wa kutosha upo. Source ya lwakatre kusema hayo soma fahamu.
 
Lwakatare haoni aibu kuwahusisha viongozi cdm kwa alilojaribu kufanya yani ugaidi kwa mhariri wa mwananchi bado anaropoka
 
Lwakatare haoni aibu kuwahusisha viongozi cdm kwa alilojaribu kufanya yani ugaidi kwa mhariri wa mwananchi bado anaropoka

Hv kweli unaamini habari hii inaukweli?? Naomba nikuulize kn nape, mwingulu,komba, wassira wako wapi wasiishadadie kauli hii kama ina ukweli??
acha kuingia mkenge ww
 
Nimepata mstikko kwa kiongozi kama lwakatare kusema kunawatu ndani ya chadema wanawasaliti inamaana viongozi wa chadema wanajua kiongozi huyu alichotarajia kufanya yani kumdhuru mhariri wa wmananchi,kwa kusema amesalitiwa na wapenda haki ndani ya chadema analalamika je polisi, usalama wa taifa mkowapi kwa kauli hii ya lwakatare amedai viongozi wakuu wa chadema wanajua mikakati yote isipokua wasaliti waliotoa siri ndo wanaiaribu chadema naamini polisi mtafanya kazi yenu kwani ushahidi wa kutosha upo. Source ya lwakatre kusema hayo soma fahamu.

Hiyo ndio hasara ya Majaliwa ya Akili isiyokuwa na akili!!! (An empty brain cavity!)
Kwani ukikaa kimya bila kupost uzi utapata kadhia gani?!
 
hv kweli unaamini habari hii inaukweli?? Naomba nikuulize kn nape, mwingulu,komba, wassira wako wapi wasiishadadie kauli hii kama ina ukweli??
Acha kuingia mkenge ww
mm ni mzalendo sina haja na ulowataja bali mpenda uadilifu
 
Wakati nasoma secondary niliamini balance sheet lazima kubalance kumbe chuoni nikajifunza sio lazima kubalance due to an accounting errors and jibu lakubalance nikufungua suspense account.... asante sana.
Nimepata mstikko kwa kiongozi kama lwakatare kusema kunawatu ndani ya chadema wanawasaliti inamaana viongozi wa chadema wanajua kiongozi huyu alichotarajia kufanya yani kumdhuru mhariri wa wmananchi,kwa kusema amesalitiwa na wapenda haki ndani ya chadema analalamika je polisi, usalama wa taifa mkowapi kwa kauli hii ya lwakatare amedai viongozi wakuu wa chadema wanajua mikakati yote isipokua wasaliti waliotoa siri ndo wanaiaribu chadema naamini polisi mtafanya kazi yenu kwani ushahidi wa kutosha upo. Source ya lwakatre kusema hayo soma fahamu.
 
Lwakatare haoni aibu kuwahusisha viongozi cdm kwa alilojaribu kufanya yani ugaidi kwa mhariri wa mwananchi bado anaropoka
Kweli ujinga ni kipaji kwa baadhi ya watu!! Anamsema Ludovick aliyenunuliwa kwa 50,000 ili afanye ujinga ule. Polisi siyo wajinga kiasi hicho kufanya haya unayoyasema!!
 
Back
Top Bottom