LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

Hu ni UPUMBAVU mwingine wa vijana wa ccm...kila kinachongelewa na viongozi wa CDM wanakitafriri ndivyo sivyo....Jana mwingine kamwona Slaa airport kaja kutuambia hapa...ACHENI USHAMBA NA UPUMBAVU WA KITOTO
 
kweli ujinga ni kipaji kwa baadhi ya watu!! Anamsema ludovick aliyenunuliwa kwa 50,000 ili afanye ujinga ule. Polisi siyo wajinga kiasi hicho kufanya haya unayoyasema!!
soma uzi wapi ludovick na ludovick ana cheo gn km kiongozi
 
Maccm bana kila kitu kukamata tuuuuuu chama mtajenga lini??

attachment.php

bahati yako wewe sii mtanzania na hauko unaona wivu rais wa US kuja bongo! ila fahamu kwamba unaowatumia hapo ni maraisi na viongozi wa nchi ambayo hawavumilii mtu kudhihaki viongozi wao kama ulivyozoea kumadhihaki JK watakunasa faster tu maana wapo bongo kitaambo!! we endelea tu.
 
kwanza hata sijui computer umejifunzia wapi kama hata kusoma vizuri na kuelewa hujui.
 
kwanza rekebisha heading yako hacha uandishi kama wa kiudaku.
 
Nimepata mstikko kwa kiongozi kama lwakatare kusema kunawatu ndani ya chadema wanawasaliti inamaana viongozi wa chadema wanajua kiongozi huyu alichotarajia kufanya yani kumdhuru mhariri wa wmananchi,kwa kusema amesalitiwa na wapenda haki ndani ya chadema analalamika je polisi, usalama wa taifa mkowapi kwa kauli hii ya lwakatare amedai viongozi wakuu wa chadema wanajua mikakati yote isipokua wasaliti waliotoa siri ndo wanaiaribu chadema naamini polisi mtafanya kazi yenu kwani ushahidi wa kutosha upo. Source ya lwakatre kusema hayo soma fahamu.

...JF sasa mmeifanya dampo,kila takataka mnayoitengeneza Lumumba mnakuja kutupia hapa...
 
Gazeti la fahamu, ndio gazeti gani hilo!

Au ndio magazeti dada Na uhuru, Habari Leo na Africa Leo!
 
Siku ile ulipoletwa uzi wa Lwakatale wa mrejesho kutoka mahabusu maprocdm walifyata wote na najua walimlaumu manake aliandika mambo kwa uhalisia wake.
 
Back
Top Bottom