LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

hakuna jipya hapa..kama mwendo ndio huu,nitatangaza nia ya kujitoa jukwaani manake post zisizo na tija kwa taifa letu tunazipa kupaumbele,hebu tujadili mambo ya msingi...ya wanasiasa hayaishi na hayataisha mpaka watakapoamua wao.
 
Naona kama anamchana live live Zitto coz ndiye aliyeonyesha msimamo tofauti na viongozi wenzake wa juu.

Usininakili....
 
Haya ni majungu yanayopikwa na ccm yeye lengo la kumgombanisha kamanda na chama chake
 
Kumbe Lwakatare aliuzwa na viongozi wa Chadema, leo hii ndiyo umejua, unacheza na kaskazini wewe.

Mkuu Ritz
jamaa wakishakutumia lazima wakupake choo kama hawatakutafuta na sumu lazima wakuumbue; unafanya mchezo na mkurugenzi wa fitina na majungu Chadema Ben Saanane? Hiyo taaluma kule India mdosi akipanga kukumiza lazima akuumize uliza waliofanya kazi na wadozi!!
 
Last edited by a moderator:
Yeye kama kiongozi, anapotuambia sisi wananchi kuwa kuna unafiki chamani anategemea sie tufanyeje? Ana style ya uongozi ya kulia machozi kama waziri mkubwa sasa! Ngoja wamuondolee huyo lawyer, ndo atagundua unafiki anaoongelea ni wa rangi ya pink ama kijani.
 
Mkuu Ritz
jamaa wakishakutumia lazima wakupake choo kama hawatakutafuta na sumu lazima wakuumbue; unafanya mchezo na mkurugenzi wa fitina na majungu Chadema Ben Saanane? Hiyo taaluma kule India mdosi akipanga kukumiza lazima akuumize uliza waliofanya kazi na wadozi!!
Uko obsessed sana na jina langu...aibu
 
Dr slaa apeleka umbea kwa wamarekani
Habari za uhakika zilizopatikana hivi punde zinaeleza kwamba,


Katika kile kinachotafsiriwa kuwa ni fitina,chuki au kukosa uzalendo katibu mkuu wa chadema Dr wilbrod Slaa alikutana na maafisa ubalozi na maafisa wa state-department ya marekani na kuwaeleza kwamba serikali ya tanzania haina utawala wa kisheria badala yake inasimamia mauaji ya watu wake.


mkutano huo ulifanyika katika ofisi za chadema kinondoni jana tarehe 29/6/2013 saa nne asubuhi dar-es-salaam. Pamoja na mambo mengine slaa aliwaomba maafisa hao waishauri serikali yao kuacha kutoa misaada kwa tanzania,kwa vile uongozi wake ni wa kiimla


lakini pia slaa alienda mbali zaidi na kuwataka maofisa hao waishauri serikali yao kuzishauri na nchi zingine zikiwemo za ulaya kusitisha misaada kwa tanzania.


slaa pia aliwakabidhi mikanda miwili ya mauaji ili waitumie kama kumbukumbu na ushahidi ambayo ni mauaji ya daud mwangosi kule iringa na tukio la kurushwa kwa bomu kwenye mkutano wa chadema kule arusha soweto.


Slaa aliwaomba maafisa hao watunze mikanda hiyo ili itumike kama ushahidi wa kuonesha kwamba tanzania siyo taifa salama.


mwisho slaa aliwaomba maafisa hao waishauri serikali yao kuisaidia chadema kuingia madarakani mwaka 2015.
 
Tunapokosea/au penye kasoro ni vema kuambiana. Lengo ni kujenga chama! Hajakosea
 
Uko obsessed sana na jina langu...aibu

mwanasiasa wangu hutaki niwe obsessed na wewe? Nipo na wewe kwa nia njema; piga siasa acha kutumiwa kwa sababu ya njaa!! Inakuwaje kijana mtanashati kama wewe kufundishwa kuua watu? Hivi huoni hata aibu? Nina uhakika Mzee Saanane na utaratibu ule alionao alikufundisha mengi sana ya kidunia sio ya kujaribu kuua watu; Nikufahamishe kitu kimoja tu mwanasiasa wangu Ben Saanane huyu unajibishana naye ni mtu anayekujua!
 
Last edited by a moderator:
Lwakatale anakihalibu chama chetu chadema maana amekuja na siasa zake chafu za mauaji za cuf alikolelewa na kwa sasa lazima tumtose tu.
 
Back
Top Bottom