Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,811
- 6,506
Alikumbana na unafiki CCM AKAHAMA, akaenda CUF akakumbana tena na unafiki AKAHAMA, akaenda CHADEMA, amekumbana na UNAFIKI, HATAKI KUHAMA!!.
Kama ni unafiki uliokuwa unamfanya ahame, kwa nini asihame tena CHADEMA?.
Maelezo yake yanaonyesha yeye ndiye CHANZO cha unafiki au ndiye mchochea unafiki kwa sababu haiwezekani yeye tu anayeona unafiki kila kule kwenye chama anakohamia.
Kikubwa zaidi, hizi anazozisema ni kauli tu za kisiasa lakini kinachomwongoza zaidi ni fikra kwanza za tumbo lake. Kama siyo fikra za tumbo lake, kwa nini hajahamia kwenye chama ambacho hakina mtaji wa kisiasa Tanzania?. I'm sorry, kwa nini asihamie kwenye vyama vya siasa vyenye debe tupu la kisiasa kama NLD, DP,TADEA,UPDP, n.k.
Kwani hafahamu kama Kufa kufaana!. Wenzake kwa sasa wanapiga mahesabu na kumuomba shetani kesi inayomkabili imkabe hasa ili wakipate cheo chake na pia nafasi ya ugombea ubunge Kagera 2015. This is politics.
Kama ni unafiki uliokuwa unamfanya ahame, kwa nini asihame tena CHADEMA?.
Maelezo yake yanaonyesha yeye ndiye CHANZO cha unafiki au ndiye mchochea unafiki kwa sababu haiwezekani yeye tu anayeona unafiki kila kule kwenye chama anakohamia.
Kikubwa zaidi, hizi anazozisema ni kauli tu za kisiasa lakini kinachomwongoza zaidi ni fikra kwanza za tumbo lake. Kama siyo fikra za tumbo lake, kwa nini hajahamia kwenye chama ambacho hakina mtaji wa kisiasa Tanzania?. I'm sorry, kwa nini asihamie kwenye vyama vya siasa vyenye debe tupu la kisiasa kama NLD, DP,TADEA,UPDP, n.k.
Kwani hafahamu kama Kufa kufaana!. Wenzake kwa sasa wanapiga mahesabu na kumuomba shetani kesi inayomkabili imkabe hasa ili wakipate cheo chake na pia nafasi ya ugombea ubunge Kagera 2015. This is politics.