mahalipema
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 194
- 120
Dah! hii hatari, kama maneno haya kweli ameyasema yeye mwenyewe Lwakatare, basi tumache aseme kwasababu kusalitiwa kuna uma sana,mwacheni atoe dukuduku lake la moyoni ili moyo wake uridhike,lakini kama anasingiziwa haku sema hayo maneno basi hilo gazeti liombe radhi.