LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

LWAKATARE: Kuna unafiki CHADEMA

yakiwapa za uso yanakuwa ya ccm. acheni kuua watu magazeti yatawaandika vizuri
Lwakatare aishukia vikali chadema asema, kuna unafiki mkubwa sana,yani zaidi ya unavofikiria


Hilo gazeti limeunganishwwwwwwwwwwwwa kwa uatadi mkubwa doooooooo.
 
yakiwapa za uso yanakuwa ya ccm. acheni kuua watu magazeti yatawaandika vizuri
Lwakatare aishukia vikali chadema asema, kuna unafiki mkubwa sana,yani zaidi ya unavofikiria



Kazi kweli kweli habu fananisha haya magazeti utagundua kitu alichokifanya mwigulu Nchemba hapa jf
9.jpg
 
Wengi wanaamini katika vyama vya siasa tanzania nawanasahau kama vile tumbo la mwanamama linavyoweza kutoa jambaz na tumbo hilohilo linatoa mtu wa watu tufikie wakati hasa vijana tujikite katika kuwajua viongoz na situ kila asemae vemaaaa au chajenga inchi ni muumini kote kuna wazur na wabaya TUNGEWEZA KUWEKA UTAIGA ZAID KULIKO UVYAMA TUNGEFIKAMBALI lakin kwasasa mabadiliko ya kweli yatachukua muda wengi wanadhani mabadiliko ya kisiasa yataleta kilakitu wanasahau nyanja nyingine.
 
Tuache siasa za chuki na kukamiana. Kuna watu wanampango wa kuihujumu chadema, ila waelewe kuwa CHADEMA iko imara.
 
Wajameni,kama maneno hayo yangekuwa na ukweli ndani yake basi wakina Nape na Muigulu wangekuwa wameshayatumia kama silaa.Usalama wa Taifa ungekuwa kazini kushughulikia hili,hali kadhalika Polisi wangeshamfungulia Lwakatare mashitaka mengine na pia magazeti mengine yote yangejaa habari hizi.sasa hizi porojo zinazopikwa na hili gazeti uchwara tunawezaje kuziamini?
We as great thinkers,tusiyachukue kirahisi sana haya mambo.
And people I call upon you all tumaintain hadhi ya hili jukwaa.siku hizi tunao hadi vichaa humu.post zinakuwa za hovyo,wachangiaji hovyo,hoja za hovyo..isije jukwaa hili likawa kama facebook.
 
[h=3]LWAKATARE ASEMA CUF WAMEMZUSHIA, ASISITIZA "AMPROUD OF BEING AT CHADEMA"[/h]
Kufuatia gazeti moja la kila siku kubeba kichwa cha habari kinachosema "KUNA UNAFIKI CHADEMA" Inayosadikika kuwa imetamkwa na Bwana Wilfred Lwakatale, hatimaye Lwakatale aibuka habari na huku akisisitiza kuwa gazeti hilo si Mwananchi kama inavyoonekana hapa chini bali ni gazeti linalomilikiwa na CUF. soma maelezo yake chini

Habari yenyewe kwenye gazeti likidaiwa kuwa ni mwananchi​

Hili ndo gazeti halisi lililoripoti​
unadhani kwa nini mtu huyo alichakachua jina la gazeti?​
Haya ndiyo maelezo ya Lwakatare kupitia ukurasa wake wa facebook
745649355.jpg
''gazeti lililoandika taharifa kama hiyo siyo mwananchi nifahamu ambalo linamilikiwa na cuf ambao kwa kiasikikubwa hawa kitakii neema chadema wala hawamtakii mema lwakatare aliyewahama kitambo.maneno kamahaya ya uongo kwa lengo la kuwagawa wanachadema nakemea yashindwe na
muyaache mara moja.lwakatare alikishukuru chama tena sana kwa kumsaidia nakuisimamia kesi yake mwanzo...
mpaka mwisho naninukuu maneno aliyotamka hata siku ya mapokezi ''AMPROUD OF BEING AT CHADEMA'' SASA NYIE MNAOTAKAKUPINDISHA KAULI ZA WATU ACHENI AISE chadema huwa hakimalizwi kwa propaganda za uongo" Anaendelea kusema ''fahamu sio gazeti la mwana halisi na ni la zamani sana.hyo ya mwananchi iko edited na mtu kaonganisha kipande cha fahamu na cha mwananchi kudanganya watu" Mwisho wa kunukuu
 
NIMEWAGUNDUA WABAYA WANGU NDANI YA CHADEMA"...LWAKATARE



Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA, WILFRED LWAKATARE amesema kuwa siasa za chuki na majungu ndani ya chama hicho zimetawala hali inayokwamisha harakati mbalimbali za kisiasa za chama hicho hadi kufikia kusalitiana hatua iliyofanya hata mipango mbalimbali kukwama. Alitolea mfano wa video aliyorekodiwa kuwa ililenga kumuumbua yeye. Aidha taarifa za ndani za chama kutolewa nje kwa maadui wa CHADEMA kisiasa nyingi zinatolewa na viongozi na wanachama wasio waaminifu.


Hayo aliyasema wakati wa Mkutano na wanachama wa chama hicho uliofanyika Juni 19, 2013 kwenye Viwanja vya mashujaa maarufu kwa jina la Mayunga mjini Bukoba.
Aidha, Lwakatare aliwaambia wananchi waliokusanyika katika viwanja hivyo vya mashujaa kuwa nafasi yake na Ukurugenzi wa Ulinzi na Usalama inamsaidia kuwagundua maadui wake.


Read more: http://audifacejackson.blogspot.com/2013/06/nimewagundua-wabaya-wangu-ndani-ya.html#ixzz2XNwtDjFA
 
Masikini chama Chetu sisi wachaga kikifa tutaenda chama gani wakatukubali kwa ubaguzi wetu?
 
Tunawambia chadema ni chama cha wachaga munatukana sasa tazameni haya 1. zitto kabwe 2. Lwakatare 3. Chacha wangwe 4. Kafulila 5. Legia mtema wote wengine waliuwawa kwa sababu ya nyota zao, wengine wametengwa wametukanwa sana wamefedheheshwa lakini wachaga wote wanasifiwa sana hata kama hawana nguvu kwenye chama, wewe chezea chaga bwana itakula kwako,
 
Yaani magazeti yote hayana habari hii isipokuwa Gazeti la CUF Fahamu!!
watu wa chadema sasa mnabishana mpaka na magazeti,mlianza kubishana na video ile sasa mmehamia kwenye magazeti,kiukweli lwakatare kafunguka kinoma,na ameahidi kufuata nyayo za mpiganaji chacha wangwe,hatoki chadema atapambana humo humo,namshauri aungane na mzee shibuda na zitto kabwe kuisafisha chadema
 
Tunawambia chadema ni chama cha wachaga munatukana sasa tazameni haya 1. zitto kabwe 2. Lwakatare 3. Chacha wangwe 4. Kafulila 5. Legia mtema wote wengine waliuwawa kwa sababu ya nyota zao, wengine wametengwa wametukanwa sana wamefedheheshwa lakini wachaga wote wanasifiwa sana hata kama hawana nguvu kwenye chama, wewe chezea chaga bwana itakula kwako,
[h=5]Kauli ya Lwakatare ya wazindua Watanzainia:-

Adai CHADEMA ni Saccos ya Mtei, Padri Slaa kajikopesha 134m kutoka kwenye fuko la Ruzuku,

Adai Chadema ni chama cha kaskazini hakina maslahi kwa maeneo mengine,

Viongozi wake ni wanafiki, waongo na mafisadi wakubwa, hawana uwezo wa kuwakomboa Watanzania

Asema hatoki atapambana humo humo kama Chacha Wangwe:
[/h]




 
kama kweli cdm mnania ya kuchukua nchi nilazima muwe wamoja otherwise mtakua wasindikizaji tu.
NAshangaa sana watu wanao lenga "kukomboa" nchi wanashindwa kujikomboa wenyewe!
we are almost 30 month to next presidential elections and they are still fighting internally!
Chama kingekua serious na mission yake ya "kukomboa Tanzania" kingekua hivi kweli?
What's the official view of CDM on the constitution? How will they define their candidate?
Are they planing to build alliances? on what basis? What's their agenda? Swali ni nyingi
na muda wa kujibu maswali unazidi kupotea wakati viongozi are too busy looking at each other.
The fact that CCM faces similar challenges is not an excuse, CCM is the winner in case of status quo
 
NAshangaa sana watu wanao lenga "kukomboa" nchi wanashindwa kujikomboa wenyewe!
we are almost 30 month to next presidential elections and they are still fighting internally!
Chama kingekua serious na mission yake ya "kukomboa Tanzania" kingekua hivi kweli?
What's the official view of CDM on the constitution? How will they define their candidate?
Are they planing to build alliances? on what basis? What's their agenda? Swali ni nyingi
na muda wa kujibu maswali unazidi kupotea wakati viongozi are too busy looking at each other.
The fact that CCM faces similar challenges is not an excuse, CCM is the winner in case of status quo

Akili zako ziko ICU Mwali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom