Von zelewisky
Senior Member
- Apr 26, 2013
- 183
- 50
Nimatumaini yangu watu kama 'pasco' wataåcha kutumika kama wale kinadada wa 'jolie'
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.
Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.
Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa Chadema walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa Chadema waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.
Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.
Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
Acha aende Arusha na mheshimiwa spika.Mh mbona tundu lissu yupo bungeni leo na sasa anapanda ndege kuelekea arusha?
sasa huko mbali hayo maandamano utaandamana mwenyewe tunamengi ya kufanya ebo!Tufanye maandamano nchi nzima kufurahia ushindi huu,people's power...!!
:behindsofa:
Pole sana kamanda, ila kwa taarifa hii nadhani utakuwa umepona!
hujui kusoma lakini kuandika unajua.
wewe ndio unasoma kama unakimbizwa mleta mada amesema lwakatare kabakiziwa shitaka moja la utekaji ambalo lina dhamana soma vizuri.
Wewe ndio umekurupuka
Ameedit sana hii habari. Habari original iliyoletwa hapa ilikuwa na sentensi moja tu. Nashukuru kwamba mods wameondoa post yangu maana kwa sasa haina maana tena. Lakini kwa wakati huo ilikuwa ni mhimu sana.HAhahahaah! akipata seat kwenye daladala atatuma vizuri ujumbe huu.
Wapi zemarcopolo, Bungeni Thatha, Sumu, Tuntemeke, Lukosi, Juliana, Mtela, na Lumumba Team?
mwigulu,Nape nao wapo humu jamvini.
jitokezeni hapa.
Vip dhamana Bado ...?
Kosa lililosalia inasemekana litaendelea kumuweka rumande kwani ni kosa la jinai.