Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

huu ni uongo wa juu kabisa, lwakatare hajafutiwa mashtaka ya ugaidi
 
kuna mtu atajinyonga hapa na mbwembwe zao hawa ni Mwigulu na Nape.
Plan A udini,plan B ukabila, plan C Ukanda,plan D ugaidi zimeshindikana.
plan E sijui itakuwaje.
.
Plan E ni Mapinduzi feki,refer J.B
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa Chadema walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa Chadema waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.

Huu ni ujumbe wa moja kwa moja kwa wanaojaribu kutetea maendeleo na afya ya Taifa letu kwa siku zijazo,
 
Kwenye ukweli daima uongo hujitenga,jana nimemwombea sana,asante MUNGU kwa kusikia maombi
 
Mwigulu sijui litaficha wapi uso wake liuaji likubwa. Linapakazia watu kesi ili likatembee na wake zao. Itafika zamu yake!
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa Chadema walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa Chadema waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.
Mwenyezi Mungu subuhana uwatahalla atukirimie rehema zake katika safarii hii ngumu tupitayo yenye milima na mabonde. Kwa uwepo wake twajua tutafika tuu nchi ya ahadi.
 
Hapo wanaenda kujipanga tena kuja na video nyingine ya Lwaka akiwa ikulu akipanga njama za kuwa rais ha ha ha
 
Lwakatare amefutiwa mashitaka yote ya ugaiidi na judge wa mahakama kuu.
Amebakiwa na shitaka moja tu linalohusu madai.

Taarifa yako fupi lakini yaeleweka vyema.
 
CCM wajifunze kutokea hapo.....WANANCHI TUNASOMA ALAMA ZA NYAKATI...bado kitambo,tutashinda hata madhila mengine ambayo ccm wanayapanga kubambikiza viongozi wengine wa upinzani.
 
Good move, makamanda msonge mbele. Pole Lwaka na familia yako, hongereni CHADEMA kwa msimamo wenu muda wote wa hujuma na usanii wa TISS/CCM.

Ni wazi huu sio muda wa kusherehekea kwani kazi mbele bado ni kubwa! Tusonge mbele.
 
Tatizo zile namba za simu alizoomba marando ndo shida zitaibua mambo mengi sana katika hili na nilijua litafutwa hata hlo moja wanachofanya ni kupoteza muda haya DPP na mwigulu anzisheni jingine tena chama limekamilika lile
 
Tulisema ukweli utakuja julikana tuu. Ni jambo baya sana binadamu kumtungia mwenzie jambo litakalo mtesa,kumsononesha yeye,familia yake na marafiki yake.
Mwigulu kama ulihusika na hili, litakurudia tuu.
 
Mtu akipanga mambo ya shetani juu yako you only do one thing ''STORM THE HEAVENS WITH PRAYERS''
 
Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?

Wewe ndio umekurupuka
 
Last edited by a moderator:
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa Chadema walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa Chadema waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.

Mpuuzi mmoja mjengoni analeta ushahidi wa kwenye taaarabu yeye anafikiri upuuzi wake ndo sheria.Akome pia apeleke kujipendekeza kwake mbele ya majangili wenza si kwa wananchi.Kama ana nia njema na taifa letu,kwa nn hawakemei wanaopora mali za taifa letu?
 
Back
Top Bottom