Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Mungu huwa hamtupi mja wake siku zote kwani yeye ni
mwema sana.na mala nyingi hila za shetani hushindwa katika haki amen.
 
Kosa lililosalia inasemekana litaendelea kumuweka rumande kwani ni kosa la jinai.
 
Mahakama imetenda haki. Hata ivyo Mbowe ashasema kwamba Lwakatare atawajibika kwa kukosa umakini, yeye km Mkurugenzi wa Usalama anapaswa kuwa makini kwa njama au ghiriba zozote zinazo mtumbukiza kwenye makosa ya aina hii. Binafsi, naungana na Mbowe, Lwakatare si makini, namfahamu muda mrefu sasa, na kwa kweli nilishangaa CDM kumpatia nafasi nyeti km hii mana si makini kabisa afu anatabia zisizotabilika muhaya yule!
 
1+1= 2, 5-3=2, 100 -98=2 tofauti ni kuwa aliyekuwa na moja (bila dhamana) si sawa na aliyekuwa na 5 au 100 (dhamana) ila matokeo ni yale yale kubaki na 2!!! (kuwa na kesi ya kujibu), and the movie continues...
 
duh.... Inamaana mahakama haikufuata maelekezo ya mzee ndovu,? Ni aibu sana kwa tiss na ccm, combination ya mawakili nmeikubali
 
nimemsoma Mzee Mengi kwenye twitter na kulink mawazo yake moja kwa moja na hali ya Watanzania tulio wengi. GPA na PhD naziona hazina maana sana!
Reginald Mengi ‏@regmengi 38m Umaskini wa akili unadumaza uwezo wa kuchambua mambo...lipi uongo, lipi kweli. Ndio sababu umaskini wa akili ni shamba la wanasiasa

Daima Ukweli utashinda Uongo na haki itashinda dhuluma; Mwigulu Nchemba na vikaragosi vyako jifunze kuandika business plan before you embark on a project!
It appears Mwigulu Nchemba has a very very low IQ hawezi kuplot njama inayoweza kufaulu. hamna honours degree pale ni debe shinda!
We can give you free consultancy
!
 
pasco mzee wa "Bonafide genuine"

Mkuu, mara baada ya kuwekwe kweny mitandao walitafuta mtu kama Pasco ili kuuaminisha umma kuwa ni clip ya kweli na mashtaka ya kigaidi ni sahihi Pasco alikomaa zaidi ya mwezi,

kamanda Mponjori, nimeipenda hiyo...".Mzee wa Bonafide Genuine", .Mkuu Matola alitumia muda kumuelimisha huyo mburula lakini kwa kuwa alikuwa anatumia, sasa anaona aibu hata kuja hapa, kawa ndani ya hawa (636 guests).
 
Last edited by a moderator:
Hii ni habari njema, pole sana Bw. Lwakatare kwa usumbufu, kero na taabu ulizopata kwa kipindi chote wewe mwenyewe, familia, jamaa na marafiki pia.

Ta Rwakatare Mungu atakulipia kwa huu uovu uliosababishwa na kina mwigulu.
 
Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?
HAhahahaah! akipata seat kwenye daladala atatuma vizuri ujumbe huu.
 
mlioko mahakamani tunaomba mtujuze kama ameshaachiwa huru au kama anaendelea kubaki rumande.
 
Mwigulu sijui litaficha wapi uso wake liuaji likubwa. Linapakazia watu kesi ili likatembee na wake zao. Itafika zamu yake!
mkuu naomba huachane naye huyu jamaaa mb.......wa kabisa, yaani ni k.e.n.g.e
 
ni hatua njema na yenye kuutia faraja kwa baadhi ya wana cdm, ila tusisahau kwamba bado anakesi ya kujibu . Ksi ya kupanga njama za kuteka ambalo kwa sasa lina ushahidi ambao wengi tunaamini umetengenezwa.. Tuendelee na hali ya kutaka kujua zaidi na tuombe apite na hili,la sivyo bado ushindi upo mbali
 
Tatizo lipo kwa Director, muvi zote anazoongoza zinakua hovyo, script zina malaria ya kichwa (si unakumbuka ile ya mkenya wa uli?). Halafu hata studio za ADA estate nazo teknolojia yake ishazeeka sasa.
Mwigulu move zake zinachuja haraka sijui kwann?
 
Kwenye uzi huu mbona vijana wa lumumba siwaoni? Au ndo wanapanga mbinu zingine?
Nadhani sasa ni wakati turudi kwenye ujangili maana jamaa kapumua sana hizi siku tatu.
Vijana wa Lumumba si rahisi kuwaona kwenye misiba kama hii. Naita misiba kwa sababu episodes zote wanafeli vibaya sana.

CCM imebuma!

Na imebuma kweli.
 
bravo wapenda mabadiliko kwa wanasheria naombeni mnifumbue macho huu ni uchochezi huyu aliyeandaa huu mpango dhalimu wa kupanga na kuandaa na kumzushia Rwakatare kesi ya Ugaidi sheria zetu zinasemaje
 
Back
Top Bottom