Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Leo Lumumba team wanakufa na njaaa..................Mungu wahurumie hawa maskini wa mawazo

wapi lukosi... Wapi chama, wapi wingu, wapi sumu, wapi bungeni.................. Leo hakuna cha buku7 hapo... Kwishney mkajinyonge sasa maana mlijiapiza kuwa lawakatare lazima atinge lupango milele

wapi Pasco...........njaa zitakuua mkuu

kunamtu anaweza kushindana na ukweli???
 
Naona CCM hapa wanazidi kuipa umaarufu CHADEMA! Mbwembwe zote zile za kuzuia dhamana mara kumwachia na kumkamata, zimeishia wapi? Kwa kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza. CCM tafuteni tawi lingine la kujishikiza ili msitunguliwe 2015.
 
Mwigulu njoo na project mpya, hii imeshafeli...
......hv lwaka alikuwa ni project ya mwigulu eehh!!!!
adi nitakapoona katika TV akitoka mahakamani na akiwa nje kwa dhamana

yani CCM haweshi vituko kwa kupandikiza kesi za kishenzi,tunangojea kiroja cha Arusha sasa!!
........jina lako ni thomaso, usinibishie sitaki ubishi otherwise nitadili na kucha zako!!!
 
Only time will tell

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Haki ya mtu hucheleweshwa tu, lakini mwishowe lazima aipate, Mungu ni Mkuu siku zote mbele ya udhalimu.
 
Yote haya yalikuwa ni kama harakati za kuzuia risasi kwa mikono!! Poleni magamba, when you play the game dirty, your win is temporary, your loss will be big time !! baaang!!!! CHADEMA CHADEMA .. peoples power x 3
 
Hii ni heshima kwa mahakama ya tanzania. Mahakama imeonyesha kwamba si ya chama fulani. Bravo mahakama zetu kwa kusimamia haki kwa raia wote bila ubaguzi
 
(195 members and 798 guests)-HAHAAA LEO LUMUMBA TEAM NI GUEST ,...... POLENI KWA NJAA ZA AKILI, MTAWATUMIKIA MABWANA ZENU MAJINGIRI NA WEZI MPAKA LINI...... MUNGU ATAWANYOOSHA TU...


CC.. MGONJWA LUKOSI, MWIZI WA SIMU, WINGU A.KA. WEB, MWALIMU WA MIPASHO MWAMPAMBA, WAKUFYOZWA JULIANA, FAIZA FOX A.K.A TASWIRA, BUNGENI. AK.A SHERUI, AK.A MWIGULE MADELU....

PEOPLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.........................................
 
Kosa lililosalia inasemekana litaendelea kumuweka rumande kwani ni kosa la jinai.

we kweli kiwete. uje na uhakika hapa jamvini. "inasemekana" maana yake huna uhakika. leo buku saba nape hawapi.
 
Lwakatare alikamatwa 'ili kuzima' watu kuhoji watekaji wa Kibanda. Labda wamefanikiwa kwa hilo. Hivi kuna anaekumbuka kama Kibanda iletekwa na watekaji hawajakamatwa? Hata wa kuzugia tu kama 'bwana Mulundi' Mkenya ...
 
Ushauri wangu kwa CHADEMA wachunguze mazingira ya uamuzi huu kufikiwa na kama hakuna mkono wa mtu uliochangia.hawa jamaa wa Lumumba hawaaminiki na wala hawakati tamaa bwana,isijekuwa ni njama ndani ya njama ndani ya njama....
 
Mh mbona tundu lissu yupo bungeni leo na sasa anapanda ndege kuelekea arusha?

Amesema 'anawakilishwa' na hao mawakili katika hilo shauri siyo kwamba Lisu yupo hapo mahakamani. Waliopo ni kati ya hao alio wataja.
 
Leo lumumba team wanakufa na njaaa..................mungu wahurumie hawa maskini wa mawazo

wapi lukosi... Wapi chama, wapi wingu, wapi sumu, wapi bungeni.................. Leo hakuna cha buku7 hapo... Kwishney mkajinyonge sasa maana mlijiapiza kuwa lawakatare lazima atinge lupango milele

wapi pasco...........njaa zitakuua mkuu

kunamtu anaweza kushindana na ukweli???
Mkuu, watoto wa Lumumba wote leo wamekuwa Guest,on RED, aibu sana...(196 members and 819 guests)
 
Aachie Ubunge sasa huyu Mwigulu kama alivyojigamba,Mungu ni mwema sana
 
Jamani gemu bado ngumu kumbe lwakatare bado yupo ndani hence kazi bado anayo.
 
Back
Top Bottom