Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

Lwakatare afutiwa mashtaka ya Ugaidi

...mwanafamilia mmoja wa
Lwakatare huku akibubujikwa
machozi akasema "mkono wa
Mungu umeonekana dhidi ya
shetani mtoa roho za watu"...

...watashindanaaaaa lakini hawatashinda...
 

MAY 8, 2013

BREAKING NEWS! Lwakatare afutiwa Kesi ya Ugaidi!


Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa Chadema walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa Chadema waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando, Tundu Lissu, Professor Abdallah Safari, Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.


Chanzo Kutoka Mahakamani.











 
Duh naona thread inazidi kunona bila shaka hawa guests 958 ni wale jamaa zetu wataalamu wa kug'oa meno na kucha bila ganzi.

There are currently 1163 users browsing this thread. (205 members and 958 guests)
Katika Guest hao bila kumsahau Mwigulu naye yuko kwenye List hiyo!
 
Habari zilinifikia kutoka mahakamani ni kuwa LWAKATARE amefutiwa mashitaka matatu ya ugaidi na mahakama kuu ya tanzania

Bado wanaendelea chezea pesa ya wananchi..let's wait n see

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ninavyoelewa hawezi kupewa dhamana na Mahakama Kuu maana sio Mahakama inayosikiliza kesi, kwa mantiki hiyo file litabidi lirudi mahakama ya Kisutu ndio hapo waombe dhamana ambayo inaweza kuwa hata in one day. All the best for him.
 
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.

Wanasheria wa Lwakatare wahakikishe wanapambana vilivyo kwa kuwa inasemekana kuna mbinu (mtego) katika shtaka hilo, hii nimeipata muda mfupi uliopita kutoka kwa mmoja wa waasi waliofukuzwa CHADEMA akisema "ok tusubiri. but mi najua kukuzidi wewe na najua mtego uliopo stay tuned utaniamini kwamba najua kukuzidi" katika ujumbe mwingine amesema hivi "usicho jua ni usiku wa giza, utaona ipi kali kati ya ugaidi na utekaji. Kwa taarifa ya utakaji ndio iliokamilika jamaa ndio tutamsahau kabisa ila kwa msiojua mnachekelea but stay tuned utaipenda"
 
Pasco Kutumika kubaya sana,


Mkuu Tumaini Makene Ben Saanane Molemo Matola Tuko Mkirua Birigita Mohamedi Mtoi mikael P awenda Mzee Mwanakijiji

Tumpatie adhabu gani Pasco kwa kutumika kwake kwa Mwigulu Nchemba kwa haya maneno yake? kwa wanaJF na kamanda@Tumaini Makene?



quote_icon.png
By Pasco
Mkuu Tumaini Makene, with due respect, weka katika kumbukumbu yako maneno haya, "With 'bonafide genuine', the stakes are very high!, the price so huge!, you'll pay very dearly!". Mark my words!.
NB, Nawafahamu baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema in persons, naujua uwezo wao!, nazijua busara zao!, ila for the sake of collective resiponsibilities, lazima wakubali kukaa kimya ila naamini kabisa, they know Chadema is taking a wrong move on this!.

Pasco.



quote_icon.png
By Pasco
Mwanzo nilisema humu kuwa Chadema haijajipanga!. Sasa nasema, Chadema as Chama, kinakabiliwa na ukosefu mkubwa kabisa wa busara za kawaida, hivyo kiukweli safari ya Chadema kuongoza nchi as of now!, ni bado sana. Japo baadae nikakubali kuwa Chadema imeanza kujipanga! lakini kwenye hili la Rwakatare, "Chadema bado haijajipanga kabisa!",kwa sababu nasisitiza the Video is "bonafide genuine!", hivyo kitendo cha Cha Chadema kumkumbatia Rwakatare, kina very serious consequences and Chadema will pay for this very dearly!. Wish you all the best!, hope for the best!, but get prepared for the worst!.Pasco.

By Pasco
Angalau sasa watu wanaanza kuhoji "the motive behind hii "Bonafide Genuine!"
Pasco. QUOTE]

CC Pasco
 
Kwa muda uliofikia ni bora tu CCM wakaamua kuwekeza mbinu na rasilimali nyingi kutekeleza ilani yao na kukujenga chama chao kuliko kuwekeza kwenye hila za kuidhuru chadema kwa kuwa biashara hii kwa sasa inaonekana hailipi.
 
Wapi Chris Lukosi pamoja na Rejao!

Nilimuambia kwamba Mungu hadhihakiwi na "ATALAANIWA YEYE NA UZAO WAKE WOTE" katika jambo hili la Lwakatare. Lukosi alijiapiza kwamba shutuma za Lwakatare ni za kweli na hapakuwa na shaka yoyote, kitu ambacho leo ukweli umedhihirika

Bado naamini kwamba, kwa vile Mungu yupo upande wetu ataendelea kudhihirisha Uungu wake kwa wote wanao simamia kweli na kuwapigania waTanzania. Na ataendelea kutoa mapigo ya moto kwa wale wote wanao jaribu kuikandamiza kweli.

TULIANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU.
 
Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?

Umesoma uzi kwa jazba rudia tena..usitoe mapovu tuu mkuu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mkuu si useme zaidi, au unakimbizwa? Hii habari ni nyeti sana, si ya kuileta kiharaka hivyo. Tuambie amefutiwa halafu kimekuwa nini? Hana kesi ya kujibu? Au imekuwaje sasa? Yupo huru?

Rudia kusoma ndugu!!!!!!!!!!!1
 
Basi hakuna shaka kabisa ile inshu ilisukwa maana kama ww upo makin kama hakim wa Leo utagundua mwigulu analamikiwa zaidi ya sana na jamii kubwa ya wtz kwenye sakata hili!! Ajue zaidi ya wtz wa sasa ni vijana na hiv vijimambo vyake vitamwandama hata kizazi chake cha tatu.
 
Ya Arusha vipi? Chadema walihusika au vipi? Au mchongo bado uko jikoni? Manake kila kitu ni Chadema
 
Duh!, Mungu mkubwa though ngoma bado nzito, maana hawa jamaa kwa kuja na mbinu zingine bana!!, wameona hili watavuliwa nguo kariakoo wakaona bora wa idrop, nadhani wamejipanga kuja kivingine
 
. Pasco Kutumika kubaya sana,
quote_icon.png
By Pasco
Angalau sasa watu wanaanza kuhoji "the motive behind hii "Bonafide Genuine!"
Pasco. QUOTE]
Mkuu Tumaini Makene Ben Saanane Molemo Matola Tuko Mkirua Birigita Mohamedi Mtoi mikael P awenda Mzee Mwanakijiji

Tumpatie adhabu gani Pasco kwa kutumika kwake kwa Mwigulu Nchemba kwa haya maneno yake? kwa wanaJF na kamanda@Tumaini Makene?

Mkuu POMPO tumsamehe tu Pasco aliteleza baada ya njaa kuhama toka tumboni ikaingia akilini.
 
Last edited by a moderator:
Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashtaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare.

Taarifa kutoka Mahakama Kuu zinasema Mahakama Kuu imebakiza shitaka moja tu, la utekaji ambalo kimsingi ni Jinai na lina dhamana.

Taarifa zaidi zinasema ni shangwe kuu kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA walioko mahakamani na Familia ya Lwakatare.Baadhi ya wafuasi wa CHADEMA waliohojiwa wamesema huu ni ushindi mkubwa dhidi ya udhalimu.

Mwanafamilia mmoja wa Lwakatare huku akibubujikwa machozi akasema mkono wa Mungu umeonekana dhidi ya shetani mtoa roho za watu.

Katika kesi hii Lwakatare anawakilishwa na Jopo la mawakili nguli watano ambao ni Mabere Marando,Tundu Lissu,Professor Abdallah Safari,Peter Kibatala na Naronyo Kicheere.

Hivi tutaendelea kuwatania watanzania hadi lini?.....yaani serikali imetumia nguvu, na wakati mwingi kupote kwa tuhuma za kutunga ilhali magaidi wa kweli wakijipenyeza huko Arusha...na kuua na kujeruhi watanzania wakiwa hawana hatia yoyote!! lazima KINA TUNDU LISSU WAANGALIE UWEZEKANO WA KUISHITAKI SERIKALI KWA HILI!! Inauma sana kuona jinsi serikali hii ya CCM jinsi inavyoweka rehani rohozetu!!
 
Hii ni heshima kwa mahakama ya tanzania. Mahakama imeonyesha kwamba si ya chama fulani. Bravo mahakama zetu kwa kusimamia haki kwa raia wote bila ubaguzi
 
Duh!, Mungu mkubwa though ngoma bado nzito, maana hawa jamaa kwa kuja na mbinu zingine bana!!, wameona hili watavuliwa nguo kariakoo wakaona bora wa idrop, nadhani wamejipanga kuja kivingine

Umenena mkuu hawa maibilisi wameingia upepo mwigulu chaliiiiiii
 
Pasco Kutumika kubaya sana,


Mkuu Tumaini Makene Ben Saanane Molemo Matola Tuko Mkirua Birigita Mohamedi Mtoi mikael P awenda Mzee Mwanakijiji

Tumpatie adhabu gani Pasco kwa kutumika kwake kwa Mwigulu Nchemba kwa haya maneno yake? kwa wanaJF na kamanda@Tumaini Makene?


quote_icon.png
By Pasco
Mkuu Tumaini Makene, with due respect, weka katika kumbukumbu yako maneno haya, "With 'bonafide genuine', the stakes are very high!, the price so huge!, you'll pay very dearly!". Mark my words!.
NB, Nawafahamu baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema in persons, naujua uwezo wao!, nazijua busara zao!, ila for the sake of collective resiponsibilities, lazima wakubali kukaa kimya ila naamini kabisa, they know Chadema is taking a wrong move on this!.

Pasco.


Kama namuona pasco mzee wa "with 'bonafide genuine' jinsi alivyonywea na kujionea aibu yeye mwenyewe'



CC Pasco[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom