ameongea akiwa anaota au?????sasa alikua wapi kuyasema hayo siku zote,,au amenong'onezwa kuwa 2015 c mbali
Nadhani akitulia atagundua hakuunga mkono hoja.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
ameongea akiwa anaota au?????sasa alikua wapi kuyasema hayo siku zote,,au amenong'onezwa kuwa 2015 c mbali
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
Aisee..hivi haya maneno mnayapataga wapi nyie? dah.. nimecheka sana.
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
Mi ndo nachanganya majina au?Job Lusinde, akichangia hoja Bungeni................alimalizia kwa kusema Haungi Hoja Mkono!......
Huyo ndio Lusinde Mbunge Kijana na Msomi kutoka Jimbo la Mtera!!
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
Amewekwa chini na wazee wa Chama chao wakamfunda kidogo namna ya kuongea, hata mwigulu leo nae kaongea politly. Watakuwa wamepewa warning ila walikuwa wanakijenga chama chao vizuri
roho mtakatifu kamtembelea
Leo mchana nimebahatika kumsikia Mh, saana Job Lusinde, akichangia hoja Bungeni kuhusu swala la Maji!
Alisema kwamba swala la Maji ni swala nyeti sana na si la Kisiasa kama ambavyo inachukuliwa!
Aliendelea kusema kwamba kama Wabunge wataendelea kumbana sana Profesa na Dokta, [Nadhani alimaanisha Waziri wa Maji na Naibu wake] itakua sio sahihi!
Japo alisema swala la Maji tusifanye Siasa, hapo hapo akajisahau na kuchomekea eti kua kama swala ni Uprofesa na Udokta, mbona tunao Profesa na Dokta waliogombea Urais mara nyingi na wameshindwa!!
Point ya mwisho aliyoiongea alisema kwamba swala la Maji Waziri ahakikishe wanalishugilikia kwa ukamilifu na kwamba Serikali inaweza ikadhani Adui yake ni CHADEMA, kumbe sio ila Adui ni Matatizo yanayowakabili wananchi!
Baada ya kuongea mambo mengi sana alimalizia kwa kusema Haungi Hoja Mkono!
Huyo ndio Lusinde Mbunge Kijana na Msomi kutoka Jimbo la Mtera!!