Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Mmmmmmmmmmmmhhhhhhhh!!!!!!!!!!! au umesikiliza vbaya, Lusinde???????????????????
 
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja

Hujui siku hizi ukianza kuropoka kuhusu chadema bila point za msingi wanaweka kambi jimboni mwako? Kauli hii haimuepushi Lusinde na kikombe cha kuporwa jimbo wakati ukifika.
 
Sijui,lakini napata mashaka kama hatakuja kutengua kauli
 
Hivi Tangu kipindi kile kabla hata ya Chadema si walikuwa wanaponda hivyo hivyo na kuitishia serikali kuwa wataibana? Lakini mwisho wa hoja humalizia kwa kuunga mkono hoja, na hiii inatoa maana yote ya kuponda utendaji mbovu ndio maana kumekuwa hakuna mabadiliko. Bora hata makata upepo ya nyerere watu walipata maji safi kwa gharama nafuu sio leo gharama kibao maji F,
 
Mheshimiwa.

Salaam.

Umechangia vizuri sana leo. Umeonekana kama mheshimiwa hasa na umependeza sana kuitwa mheshimiwa leo. Siku nyingine unakuwaje?

Umechangia vizuri sana. Kwa maneno mazuri, matamu na yenye ukweli kabisa.

Umesema vizuri kuwa kana maji yakitoka mwakani wenzenu yaani Chadema bila bila shaka watasema ni kwa ajili ya kampeni. Ni kweli. Lakini kwa nini umetumia neno "wenzetu" badala ya maneno yako yale machafu ya zamani? Bila shaka umekuwa mtu mzima sana na uheshimiwa unakustahili.

Mwisho. Hivi ni kwa nini hukuogopa kusema kwa ujasiri kuwa huungi mkono hoja? Ujasiri huu umeutoa wapi? Wewe ambaye mwanzoni ulionekana kama bendera fuata upepo? Bila shaka umetambua ukweli kuwa huwi mpinzani kwa ajili ya kusema ukweli. Utakuwa mkweli hata ukiwa ni muumini wa CCM.

Kwa kweli leo umenifirahisha sana leo na mimi NAKUUNGA MKONO.

Hongera Mheshimiwa wetu. 2015 ni wetu.

Tukiendelea kusifia pia tusiteme bigijii (misimamo yetu dhidi ya ccm) kwa karanga (hoja tamu za mpito) za kuonjeshwa.
 
Leo mchana nimebahatika kumsikia Mh, saana Job Lusinde, akichangia hoja Bungeni kuhusu swala la Maji!

Alisema kwamba swala la Maji ni swala nyeti sana na si la Kisiasa kama ambavyo inachukuliwa!
Aliendelea kusema kwamba kama Wabunge wataendelea kumbana sana Profesa na Dokta, [Nadhani alimaanisha Waziri wa Maji na Naibu wake] itakua sio sahihi!

Japo alisema swala la Maji tusifanye Siasa, hapo hapo akajisahau na kuchomekea eti kua kama swala ni Uprofesa na Udokta, mbona tunao Profesa na Dokta waliogombea Urais mara nyingi na wameshindwa!!

Point ya mwisho aliyoiongea alisema kwamba swala la Maji Waziri ahakikishe wanalishugilikia kwa ukamilifu na kwamba Serikali inaweza ikadhani Adui yake ni CHADEMA, kumbe sio ila Adui ni Matatizo yanayowakabili wananchi!
Baada ya kuongea mambo mengi sana alimalizia kwa kusema Haungi Hoja Mkono!

Huyo ndio Lusinde Mbunge Kijana na Msomi kutoka Jimbo la Mtera!!

lililosheheni vichaa......
 
Hajamalizia kwa nukta yake pendwa...."kudadadeki"?
 
Hujui siku hizi ukianza kuropoka kuhusu chadema bila point za msingi wanaweka kambi jimboni mwako? Kauli hii haimuepushi Lusinde na kikombe cha kuporwa jimbo wakati ukifika.

take like......
 
Sijui,lakini napata mashaka kama hatakuja kutengua kauli

haitakiwi apewe nafasi ya kuongea bungeni tena.. ili hii kauli yake nzuri ibaki kwenye hansad za bunge kwa faida ya vizazi vijavyo..mkimpa tema nafasi ya kuonge anaweza kuharibu tena....
 
mmmmh!! Lusinde? Basi kama ni hivyo sasa akili zimeanza ushirikiano utulie hivyo hivyo zisije zikapangaranyuka tena na siku nyingine utoe mchango mzuri zaidi..

ni njia kuomba msamaha team slaa isifike jimboni kwake,kichapo kipo palepale
 
Kesho atakana haya maneno!

Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
 
au anataka kuhamia CDM?
Kwa CD YA CDM, hata wale vilaza wengine akina nape, wasira, mwigulu na vibaraka wa magamba watafyata mikia.
 
Mheshimiwa.

Salaam.

Umechangia vizuri sana leo. Umeonekana kama mheshimiwa hasa na umependeza sana kuitwa mheshimiwa leo. Siku nyingine unakuwaje?

Umechangia vizuri sana. Kwa maneno mazuri, matamu na yenye ukweli kabisa.

Umesema vizuri kuwa kana maji yakitoka mwakani wenzenu yaani Chadema bila bila shaka watasema ni kwa ajili ya kampeni. Ni kweli. Lakini kwa nini umetumia neno "wenzetu" badala ya maneno yako yale machafu ya zamani? Bila shaka umekuwa mtu mzima sana na uheshimiwa unakustahili.

Mwisho. Hivi ni kwa nini hukuogopa kusema kwa ujasiri kuwa huungi mkono hoja? Ujasiri huu umeutoa wapi? Wewe ambaye mwanzoni ulionekana kama bendera fuata upepo? Bila shaka umetambua ukweli kuwa huwi mpinzani kwa ajili ya kusema ukweli. Utakuwa mkweli hata ukiwa ni muumini wa CCM.

Kwa kweli leo umenifirahisha sana leo na mimi NAKUUNGA MKONO.

Hongera Mheshimiwa wetu. 2015 ni wetu.

Tukiendelea kusifia pia tusiteme bigijii (misimamo yetu dhidi ya ccm) kwa karanga (hoja tamu za mpito) za kuonjeshwa.
 
INANIPA FARAJA KUWA TUKIACHA USHABIKI WA VYAMA TUNAWEZA KUWASAIDIA WANANCHI WETU!!!!! Kufanya hili itahiji utashi na busara, vinginevyo vyama vitaendelea kututenganisha na wananchi hivyo kupoteza ladha na sifa tunapokuwa mbele yao.
 
Sasa walichokuwa wanambeza mnyika ni nini? Yaani CDm isipo chukua nchi hii 2015 nahamia Comoro...
 
humu ndani kuna waswahili ww acha tu,nami nimebak nakenua meno tu,,,,
ila huenda jamaa akili zake zinarandana na muandamo wa mwezi

Nafikiri madaktari wameipatia dawa inayomfaa safari hii, zile zingine zilikuwa zinampa reaction mbaya sana!!!
 
Lazima kuwa makini, usifurahie kuona kichaa amekupokea mzigo ukafikiria amepona na kuwa mtu mwema, utashangaa atakapoutia moto mzigo wako.

Sijui,lakini napata mashaka kama hatakuja kutengua kauli
 
Back
Top Bottom