Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Hata vichaa wakati mwingine wanaogopa simba akiunguruma.
 
Aliyosema Lusinde yanafanana na mada yangu ya humu jamvini ya tarehe 18/April, 2013. Naomba tena niyaweke yale maelezo kama nilivyoyaweka humu
"...wanaweza kufikiri maadui zao ni Wapinzani hasa CDM kumbe sio. Ilivo kwa sasa tannzania kuna matabaka mawli kimfumo yanayokinzana. tabaka la kwanza ni la wale wanaonufaika kimaisha na mfumo uliopo. baadhi yao ni watawala na wale wanaomiliki njia kuu za uzalishaji. hawa wanatetewa na wengi wa wana ccm wenye nafasi na wale ambao hawajui kinachoendelea. Baadhi ya vijana wanaotokana na watawala wa zamani pia wamewasaliti vijana wenzao kwa kuunga mkono mfumo uliopo. Wawe makini maana siku yaja sijui watawaambia nini vijana wenzao.
Tabaka la pili linawakilishwa kwa kiasi kikubwa na vijana, watumishi wa ngazi ya chini. machinga, wakulima na watu ambao wameathirika na mfumo uliopo. baadhi ya vijana wamepata nafasi ya kupenyeza katika Bunge na wako mstari wa mbele kupanbana kuondoa mfumo uliopo. Vyama kama Chadema NCCR nk. vinawakilisha tu wengi waliopo huko mitaani. Kwa hivo CCM wanapaswa kukumbuka nadharia kama za kina Max na Hegel kuhusu migongano hii ya kimfumo (thesis na antithesis). kwa hivo wanaweza kugombana sana na wapinzani hata wakawashinda lakini si rahisi kuzishinda nguvu za mabadiliko kwa mtindo unaoendelea sasa hivi. Tusubiri tutaona tukujaliwa"
 
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja

Hongera kwa kauli mtambuka,tangu nikusikie Bungeni..nashukuru kwa kufunguka kimtazamo na kifikra.
 
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja

Heeee Lusinde nae ameanza kuasi?....sasa nani atabaki na matusi huko ssm ........ au ni kupokezana km mchezo wa vijiti ....... serukamba nae juzi kaanza mbio za matusi, ila alianza kwa gia kubwa sana!!!!!!
 
Ama kweli lazima tujifunze kubadilika kimtazamo na kifira uwe ccm au mpinzani.Leo LUSINDE kafurahisha mno baada ya kutoa kauli hii "CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali".

Tujifunze kubadilika kimtazamo na kifira uwe ccm au mpinzani.
 
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja

Ckajua wapinzani wanaelekea jimboni kwake
 
ukweli wanajua chadema wanajipanga kwa hoja akafundishe nape na mjinga mwenzake mwigulu machemba
 
Lusinde kashtukia kuwa hata wakipeleka maji mwakani bado hawataeleweka manake wananchi wameshastukia style zao za maendeleo kwajili ya kampeni, kaongezea kusema watendaji wasiogope kuwapa viongozi maji ya jagi hata wakiletewa shida wabunge watawatetea! Hope yeye na chemba wamerushwa mgao kwajili ya matusi!!! Au wamekua gafla!!!
 
Mheshimiwa.

Salaam.

Umechangia vizuri sana leo. Umeonekana kama mheshimiwa hasa na umependeza sana kuitwa mheshimiwa leo. Siku nyingine unakuwaje?

Umechangia vizuri sana. Kwa maneno mazuri, matamu na yenye ukweli kabisa.

Umesema vizuri kuwa kana maji yakitoka mwakani wenzenu yaani Chadema bila bila shaka watasema ni kwa ajili ya kampeni. Ni kweli. Lakini kwa nini umetumia neno "wenzetu" badala ya maneno yako yale machafu ya zamani? Bila shaka umekuwa mtu mzima sana na uheshimiwa unakustahili.

Mwisho. Hivi ni kwa nini hukuogopa kusema kwa ujasiri kuwa huungi mkono hoja? Ujasiri huu umeutoa wapi? Wewe ambaye mwanzoni ulionekana kama bendera fuata upepo? Bila shaka umetambua ukweli kuwa huwi mpinzani kwa ajili ya kusema ukweli. Utakuwa mkweli hata ukiwa ni muumini wa CCM.

Kwa kweli leo umenifirahisha sana leo na mimi NAKUUNGA MKONO.

Hongera Mheshimiwa wetu. 2015 ni wetu.

Hujajua wapinzani watatembelea Jimbon kwake ndo maana anafuta kauli
 
Mwizi wa pembe za NDOVU kawaonya kawaambia kwa wabunge wote wa CCM kujifanya wao ni mawaziri wanakizika chama chao mfu.
 
The sucker belong to Mirembe,remember he's on medication.
 
Kweli watendaji wa serikali yetu ni kizungumkuti. Mipango ipo mizuri lakini wanaotakiwa kuitekeleza sasa...
 
hata chiz kuna kipindi huwa na busara japo busara hiyo ni vigumu kudumu kutokana na uchiz wake
 
inawezekana lile tusi la 'f..k you' limemstua naye na kuamua kumrudia Mungu hivyo kuungana na walio na Mungu
 
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.

Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.

Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.

Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.

Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja

Duh!! Kumbe akikatazwa matusi Akili humjia??
 
Back
Top Bottom